TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Nadhani jirani zetu hawa wana jambo lao ambalo inaonekana ni tofauti na siasa.
Nilisema kama ni siasa basi wafungue server ila hawataki na hiki wanachotambiana kina nwisho mbaya.
DP Rigathi anasema ‘Jumatatu itakuwa siku ya mwisho’ kwa Odinga kufanya maonyesho nchini Kenya, anasema haitakuwa 'biashara kama kawaida' baada ya hapo kwani 'Serikali itatumia mamlaka yake ipasavyo'
Nilisema kama ni siasa basi wafungue server ila hawataki na hiki wanachotambiana kina nwisho mbaya.
DP Rigathi anasema ‘Jumatatu itakuwa siku ya mwisho’ kwa Odinga kufanya maonyesho nchini Kenya, anasema haitakuwa 'biashara kama kawaida' baada ya hapo kwani 'Serikali itatumia mamlaka yake ipasavyo'