Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Niwapongeze sana wapiga kura wote walioshiriki kumkataa huyu bwana uchaguzi wa AU, Wengi walijiaminisha baba anakuwa mwenyekiti Ruto akamwingiza chaka eac wamejipanga na atashinda.
Haha baadhi ya mambo yaliyomfanya asishinde ni
1.Nchi yake kuruhusu ofisi za RFS za waasi kuwepo huko kenya
Src bbc swahili jana
Baba hii mlijichanganya sana sana
2. Kushindwa kutetea mapigano ya waasi wa m23 huko congo na kuna habari hazijathibitika anyway ntarudi tena
3.Babaaaa. Africa hatutaki watu wasio na msimamooo
Baba tangu ulipowauza wale gen z wakatetea haki za wakenya wakafa atujui kama walizikwa wote tunaamini watafufuka
Baba siku ambayo afrika ilikuogopa n siku uliporudiana na mh ruto
Baba gafla mkaletta mhuni mfanyabiashara adan
Gafla ukaitanpress unashabikia msimamo wa adan kuchukua aport jomo kenyatakweli baba
Mzee odinga angekuwa hai leo hi nahisi angekukana kabisa
Baba mda si mrefu ukweli ukathibitika mmepokea billions za adan
Src usa taarifa
Vijana wakaingia tena front kuwapinga mkahonga wabunge wapitishe huku ukishabikia anakuja kuleta maendeleo
Baba n huyohuyu adan rais rutto aliemshabikia akakutaaa akamkana akasema anavunja mkataba na hatolipwa chochote kwa kvunja mkataba
Baba wakenya awakukuamini tena na tena na sio hao n pamoja na members wa nchi kadhaa walikuogopa
Nafikiri hii iwe fundisho kwa wale waliokuwa wanasiasa kuchezea maslahi ya maendeleo ya nchi yao....
Ukikoswa aibu kwako utaaaibika nje ya nchi yako
Else baba nakutakia sana heri na fanaka na siasa zako za kenyaaaaa
Ujue tu wakenya wamekuchoka na hawatakuwmini tena
Siku njema baba raila odinga
Haha baadhi ya mambo yaliyomfanya asishinde ni
1.Nchi yake kuruhusu ofisi za RFS za waasi kuwepo huko kenya
Src bbc swahili jana
Baba hii mlijichanganya sana sana
2. Kushindwa kutetea mapigano ya waasi wa m23 huko congo na kuna habari hazijathibitika anyway ntarudi tena
3.Babaaaa. Africa hatutaki watu wasio na msimamooo
Baba tangu ulipowauza wale gen z wakatetea haki za wakenya wakafa atujui kama walizikwa wote tunaamini watafufuka
Baba siku ambayo afrika ilikuogopa n siku uliporudiana na mh ruto
Baba gafla mkaletta mhuni mfanyabiashara adan
Gafla ukaitanpress unashabikia msimamo wa adan kuchukua aport jomo kenyatakweli baba
Mzee odinga angekuwa hai leo hi nahisi angekukana kabisa
Baba mda si mrefu ukweli ukathibitika mmepokea billions za adan
Src usa taarifa
Vijana wakaingia tena front kuwapinga mkahonga wabunge wapitishe huku ukishabikia anakuja kuleta maendeleo
Baba n huyohuyu adan rais rutto aliemshabikia akakutaaa akamkana akasema anavunja mkataba na hatolipwa chochote kwa kvunja mkataba
Baba wakenya awakukuamini tena na tena na sio hao n pamoja na members wa nchi kadhaa walikuogopa
Nafikiri hii iwe fundisho kwa wale waliokuwa wanasiasa kuchezea maslahi ya maendeleo ya nchi yao....
Ukikoswa aibu kwako utaaaibika nje ya nchi yako
Else baba nakutakia sana heri na fanaka na siasa zako za kenyaaaaa
Ujue tu wakenya wamekuchoka na hawatakuwmini tena
Siku njema baba raila odinga