Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Wakenya wengi wanataabika umasikini wao umewafanya Wasomali wapate nafasi ya kuwamiliki kupitia biashara na kununua maeneo mengi...mjini wengi wana maisha nafuu ila huko nje ya miji ni balaa...Nashangaa wale wanaosema kuwa wakenya wako smart kwenye issue zao, msiishie mtandaoni, nendeni Kenya muone maisha halisi ya wakenya haswa vijijini. Kenya ni miongoni mwa mataifa yenye watu wa hovyo kuliko unavyoweza kudhani iwapo hujabahatika kuishi huko. Mkifika Kenya msiikomee mijini pata wasaa wa kuzama vijijini kwa muda wa kutosha