Raila kung'ara Ukikuyuni pigo jingine kwa wakabila uchwara wa bongo

Raila kung'ara Ukikuyuni pigo jingine kwa wakabila uchwara wa bongo

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kimeendelea kunuka Kenya. Hakuna anayekioanisha na ukabila isipokuwa kutokea Tanzania.

Leo Raila alikuwa kapigwa kalamu kufanya vitu vyake Murang'a Ukikuyuni huko.

Screenshot_20230420-204110.jpg


Unamsimamisha vipi Tutu, Mandela, Nyerere au Seif kutokuitumia haki yake ya kikatiba?

Raila and Azimio leaders defy police boss, hold Murang'a town hall meeting

Pamoja na ushupavu wa polisi kutaka kuuzuia mkutano huo, nani mwenye kumsimamisha Raila, wapi?

"Nobody can stop reggae." -- Lucky Dube.

Raila kwa mara nyimgine kafanya vitu vyake kwa mujibu wa katiba ya huko bila kujali nani anasema nini.

Kwetu tunaambiwa sisi ndiyo tumelala eti ya kwamba waliolala si kina Raila wa huku. Maajabu ya Mussa.

Porojo za nini ndugu zangu? Koleo na liitwe kwa jina lake.
 
Nimejaribu kusoma mara mbili ila sijajua umeandika nini ewe mpumbavu
Ukiona bandiko lako limeungwa mkono na kina Mtambuka jipige kifuani mara tatu ujiambie mwenyewe "mimi kwenye wapumbavu ni baba lao."

Haina shaka wewe ni katika wale vijana wa hovyo msiokuwa na mchango wowote kwa taifa hili. Haipo shaka ujuaji wenu unapoanikwa mnabakia na hasira, bora za mkizi.

Bure kabisa!
 
Kimeendelea kunuka Kenya. Hakuna anayekioanisha na ukabila isipokuwa kutokea Tanzania.

Leo Raila alikuwa kapigwa kalamu kufanya vitu vyake Murang'a Ukikuyuni huko.

View attachment 2594386

Unamsimamisha vipi Tutu, Mandela, Nyerere au Seif kutokuitumia haki yake ya kikatiba?

Raila and Azimio leaders defy police boss, hold Murang'a town hall meeting

Pamoja na ushupavu wa polisi kutaka kuuzuia mkutano huo, nani mwenye kumsimamisha Raila, wapi?

"Nobody can stop reggae." -- Lucky Dube.

Raila kwa mara nyimgine kafanya vitu vyake kwa mujibu wa katiba ya huko bila kujali nani anasema nini.

Kwetu tunaambiwa sisi ndiyo tumelala eti ya kwamba waliolala si kina Raila wa huku. Maajabu ya Mussa.

Porojo za nini ndugu zangu? Koleo na liitwe kwa jina lake.
Umeandika nini wewe Mjaluo?
 
Wakenya wako mbele yetu, kimsingi wao wameshaamka huku sisi tukiwa bado tumelala tunasubiri kuamshwa.

Sijui tatizo letu ni elimu ya uraia au kitu gani kingine? kwasababu kama ni wasomi, tunao wengi wanaomaliza vyuo vikuu wametapakaa mitaani.

Watu kama MKANDAHARI na Makojo ningependa kujua viwango vyao vya elimu..
 
Wakenya wako mbele yetu, kimsingi wao wameshaamka huku sisi tukiwa bado tumelala tunasubiri kuamshwa.

Sijui tatizo letu ni elimu ya uraia au kitu gani kingine? kwasababu kama ni wasomi, tunao wengi wanaomaliza vyuo vikuu wametapakaa mitaani.

Watu kama MKANDAHARI na Makojo ningependa kujua viwango vyao vya elimu..
denooJ Uchawi wa mwenge na ushirikina wa ccm tumekuwa mazombies! Kenya walisha amka siku nyingi! Raila anapata sapoti kubwa Sana! Tanzania mazombies ni mengi Sana!
 
Umeandika nini wewe Mjaluo?

Nimeandika hivi: mnaoota ukabila kwenye harakati za kupigania haki Kenya ni nyinyi mambuzi, tokea pande za Nanjilinji Kilwa huko. Kwamba kwa ujuaji wa kijinga jinga ninyi mna nambari one mgongoni duniani.
 
Wakenya wako mbele yetu, kimsingi wao wameshaamka huku sisi tukiwa bado tumelala tunasubiri kuamshwa.

Sijui tatizo letu ni elimu ya uraia au kitu gani kingine? kwasababu kama ni wasomi, tunao wengi wanaomaliza vyuo vikuu wametapakaa mitaani.

Watu kama MKANDAHARI na Makojo ningependa kujua viwango vyao vya elimu..

Ninakazia:

"Watu kama MKANDAHARI na Makojo ningependa kujua viwango vyao vya elimu."

Utabiri: yatakuwa ni mabumunda kweri kweri.
 
denooJ Uchawi wa mwenge na ushirikina wa ccm tumekuwa mazombies! Kenya walisha amka siku nyingi! Raila anapata sapoti kubwa Sana! Tanzania mazombies ni mengi Sana!

Hata Kenya walamba asali, wahuni na wale vijana wa hovyo pia wapo. Kwenye ukombozi hatuwahitaji watu wote.

Kwenye harakati zake Raila anaambatana na nyomi lisilokuwa na watu wa kuzidi 2,000. Raila hana Kenya yote nyuma yake.

Nani mwenye kuisimamisha reggae kwenye nyomi la watu kama hao waliodhamiria?

Tusiwe mbaazi kusingizia jua. Kwamba hatupo watu 500 wa kuyaweka mambo kwenye mstari?

Tusimlaumu dobi kaniki rangi yake.
 
Kimeendelea kunuka Kenya. Hakuna anayekioanisha na ukabila isipokuwa kutokea Tanzania.

Leo Raila alikuwa kapigwa kalamu kufanya vitu vyake Murang'a Ukikuyuni huko.

View attachment 2594386

Unamsimamisha vipi Tutu, Mandela, Nyerere au Seif kutokuitumia haki yake ya kikatiba?

Raila and Azimio leaders defy police boss, hold Murang'a town hall meeting

Pamoja na ushupavu wa polisi kutaka kuuzuia mkutano huo, nani mwenye kumsimamisha Raila, wapi?

"Nobody can stop reggae." -- Lucky Dube.

Raila kwa mara nyimgine kafanya vitu vyake kwa mujibu wa katiba ya huko bila kujali nani anasema nini.

Kwetu tunaambiwa sisi ndiyo tumelala eti ya kwamba waliolala si kina Raila wa huku. Maajabu ya Mussa.

Porojo za nini ndugu zangu? Koleo na liitwe kwa jina lake.
Maelezo yooooote, ukumbuke Wakenya hao hao wamemnyima Urais kwa kipindi chote alichogombea kama walivyofanya kwa babaake!
 
ALipata kura ngapi kutoka kituoni kwa running mate wake Bi Martha Karua?
Alidanganywa hivi hivi kipindi cha Campaign matokeo yake yalikua ni kilio.
Unakumbuka Sabina chege alivyompatia raila Viatu vya kukwea mlima Kenya?? Leo Sabina Chege yuko upande gani wa political divide??
 
ALipata kura ngapi kutoka kituoni kwa running mate wake Bi Martha Karua?
Alidanganywa hivi hivi kipindi cha Campaign matokeo yake yalikua ni kilio.
Unakumbuka Sabina chege alivyompatia raila Viatu vya kukwea mlima Kenya?? Leo Sabina Chege yuko upande gani wa political divide??

Kwani kuna rafiki wa kudumu au adui kwenye politics?



Uadui wa kudumu na urafiki wa kudumu ni ujingani Nanjilinji huko tu.
 
denooJ Uchawi wa mwenge na ushirikina wa ccm tumekuwa mazombies! Kenya walisha amka siku nyingi! Raila anapata sapoti kubwa Sana! Tanzania mazombies ni mengi Sana!
Ndiyo huu mnaouchangia kwa shuruti?

FuPJOQsWAAA_3sL.jpeg
 
Back
Top Bottom