kambitza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 2,045
- 1,320
Aliyekuwa waziri mkuu wa kenya Bw Raila Odinga ameshauri Rais Yoweri Museveni wa Uganda kuanza mazungumzo na Serikali ya Tanzania ili kutatua kasoro zilizojitokeza katika Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Bwana Odinga amemshauri Rais museveni kufanya mazungumzo na viongozi wa Tanzania katika mkutano wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki utakaofanyika mjini Kampala mwisho wa mwezi huu.
Ushauri huo ameutoa katika mazungumzo yake na Museveni yaliyofanyika Ikulu nchini uganda.
Habari kamili inapatikana kwenye hiyo Link Chini
Standard Digital News - Raila Odinga and President Yoweri Museveni to open talks with Tanzania over EAC
Bwana Odinga amemshauri Rais museveni kufanya mazungumzo na viongozi wa Tanzania katika mkutano wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki utakaofanyika mjini Kampala mwisho wa mwezi huu.
Ushauri huo ameutoa katika mazungumzo yake na Museveni yaliyofanyika Ikulu nchini uganda.
Habari kamili inapatikana kwenye hiyo Link Chini
Standard Digital News - Raila Odinga and President Yoweri Museveni to open talks with Tanzania over EAC