Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Alipigania kwa kumtumia Muzungu kuhakikisha Kenya inapata Katiba mpya lkn lengo lake halikuwa kwa manufaa ya nchi bali lilikuwa kupata Katiba ambayo ingeweza kumpa Uraisi kwa kuvunja vunja Power ya Wakikuyu lkn alisahau kwamba Wakikuyu ni Mafia, wakamfix na hiyo hiyo Katiba yake mpya na bado wanatawala nchi!
Ushauri wangu kwa Raila Odinga, Wakikuyu huwawezi, hawa walishakutangulia walikabidhiwa nchi na Muzungu hivyo njia pekee kwako ni kuwafikia na kuomba upatanishi wakikukubali hapo ndipo unapoweza kuwa Raisi wa Kenya, kinyume na hapo Uraisi sahau.
Chanzo cha infos zangu kuhusu Kenya ni Demu wangu, ...
Ushauri wangu kwa Raila Odinga, Wakikuyu huwawezi, hawa walishakutangulia walikabidhiwa nchi na Muzungu hivyo njia pekee kwako ni kuwafikia na kuomba upatanishi wakikukubali hapo ndipo unapoweza kuwa Raisi wa Kenya, kinyume na hapo Uraisi sahau.
Chanzo cha infos zangu kuhusu Kenya ni Demu wangu, ...