Kenya 2022 Raila Odinga asema kupiga marufuku uagizaji mahindi nje ya nchi

Kenya 2022 Raila Odinga asema kupiga marufuku uagizaji mahindi nje ya nchi

Kenya 2022 General Election
Kwenye dunia ya sasa, ambapo kila info inapatikana kwa urahisi, huo mimi huwa nauita upumbavu. Kama sio upumbavu basi ni kimbembele na ujuaji mwingi. Naelewa kwamba hata mtu mwenye PhD zake hawezi akajua kila kitu, kilicho chini ya jua.
Ila mimi huwa nina mazoea ya kufanya karisechi, angalau hata kadogo tu. Kabla nitupie maoni yangu, kwenye mjadala, ambao unazungumzia jambo ambalo sina uhakika kulihusu. Kando na hapo ustaarabu ni kubaki tu kimya, ili ujifunze mapya.
Inahuzunisha sana pale watu wanakuwa na formed opinion and generalisation kuhusu jambo fulani ambayo hawana uhakika nacho. Huwa nachekenga tu nikiona watanzania wakisema wakenya wanakufa njaa wakati wengi wamezaliwa huku na kufa bila kushuhudia njaa ni nini. Wasichokijua ni kwamba kuna sehemu nyingi sana watu hulima hadi kuwa na surplus ya chakula ambayo in most cases uharibikia shambani (but I blame the government on this).

As you've put it, doing some research can go a long way in knowing the truth, especially if you aren't so sure about something
 
Migori ndio nyumbani. Sio kisii pekee yake ila western Kenya in general inapokea mvua almost all-year round, na huku hakuna siku utasikia kuna uhaba wa chakula ama kwamba wakazi wanategemea misaada kutoka kwa serikali. Hata bonde la ufa sehemu nyingi tu hupokea mvua mwaka mzima. Nakuru county, most parts of Laikipia county, Trans Nzoia County, Usain Gishu county, Bomet County, Kericho County, Nandi County, zote hizo hupokea mvua kwa wingi sana. Ukame upo mostly in lower eastern Kenya, northern Kenya, central and north Rift na baadhi ya maeneo ya pwani na huku ndio hukuanga na tatizo la njaa
Sio kila eneo lazima lipite mvua, au sio lazima kila county wazalishe chakula. Huku Tanzania Kuna mikoa sita pekee ambayo huzalisha 80% ya mahindi yote. Serikali imewekeza vizuri katika kila eneo kulingana na wanachoweza kuzalisha.

Mikoa ya kusini mashariki wanazalisha korosho, wao hawalimi mahindi, wao hutegemea mahindi kutoka mikoa mingine yenye kuzalisha mahindi kwa wingi.

Ni jambo la kushangaza kusikia kwamba Kenya Kuna maeneo yenye hali nzuri ya kilimo lakini upande mwengine wa nchi watu wanakufa kwa njaa. Kenya mnapaswa kujifunza kutoka kwa majirani zenu wa Tanzania na Uganda, tatizo hamtaki kubali madhahifu yenu, kila kitu mnataka kuonyesha kwamba ninyi hamna makosa nanajaribu kutafuta "excuses".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ndio tofauti Kati ya kiongozi na raia, kiongozi anazungumzia wananchi wote, wakati raia anafikiria kuhusu yeye na familia yake. Kama wewe hujawai kukutana na njaa au ukame, Kuna zaidi ya wakenya 3M wapi hatarini kupoteza maisha kwasababu ya ukame, wewe hao hawakuhusu, lakini rais huo ni mzigo wake lazima ashughulike nao.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kitu unasema ni sahihi ila inapotosha pale mtapotaka kupaint picha kwamba wakenya hawana mashamba yenye rotuba ya kulima, na kwamba Kenya yote ni kame. This is is the notioning we are trying to drive you away from. Hata ukiangalia comments zilizotangulia hapo juu, hii dhana kwamba Kenya ni kame kila mahali na kwamba hatulimi imejitokeza sana. Nenda Kitale, utakutana na mashamba makubwa ya mahindi running into hundreds of acres owned by individual farmers.
 
Sio kila eneo lazima lipite mvua, au sio lazima kila county wazalishe chakula. Huku Tanzania Kuna mikoa sita pekee ambayo huzalisha 80% ya mahindi yote. Serikali imewekeza vizuri katika kila eneo kulingana na wanachoweza kuzalisha.

Mikoa ya kusini mashariki wanazalisha korosho, wao hawalimi mahindi, wao hutegemea mahindi kutoka mikoa mingine yenye kuzalisha mahindi kwa wingi.

Ni jambo la kushangaza kusikia kwamba Kenya Kuna maeneo yenye hali nzuri ya kilimo lakini upande mwengine wa nchi watu wanakufa kwa njaa. Kenya mnapaswa kujifunza kutoka kwa majirani zenu wa Tanzania na Uganda, tatizo hamtaki kubali madhahifu yenu, kila kitu mnataka kuonyesha kwamba ninyi hamna makosa nanajaribu kutafuta "excuses".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Unaposema Tanzania inategemea mikoa sita kuzalisha mahindi, sisi hutegemea eneo moja tu kwa mahindi ambayo ni north rift (commonly referred to as the bread basket of the country). These are Kitale in Trans Nzoia county and parts of Uasin Gishu county. Maeneo mengine ya magharibi ya Kenya such as Kisii, Nyamira, Migori, Kakamega nk hayana mashamba makubwa due to high population density but they produce enough for their own consumption. These places do not even depend on the maize grown in Kitale. They are self-reliant in this respect.

We are are not producing enough maize due to a myriad of reasons. One is that the few arable places are overpopulated hence only practice subsistance farming. The second reason is the pests and disease prevalence such as the army warm and locusts that destroy thousands of acres under maize crop. Though this can be mitigated, it leaves behind destruction with far-reaching affects. Erratic rain is also to blame and this has become a serious problem particularly in Kitale where rain either fails and comes late.
 
Inahuzunisha sana pale watu wanakuwa na formed opinion and generalisation kuhusu jambo fulani ambayo hawana uhakika nacho. Huwa nachekenga tu nikiona watanzania wakisema wakenya wanakufa njaa wakati wengi wamezaliwa huku na kufa bila kushuhudia njaa ni nini. Wasichokijua ni kwamba kuna sehemu nyingi sana watu hulima hadi kuwa na surplus ya chakula ambayo in most cases uharibikia shambani (but I blame the government on this).

As you've put it, doing some research can go a long way in knowing the truth, especially if you aren't so sure about something
Elimu duni inachangia pia, kwa sana. Maanake kuna wengine hata concept rahisi tu ya biashara, huwa inawapiga chenga. Utasikia mwingine akisema kwamba wanailisha Kenya, kisa eti huwa wanawauzia wakenya mahindi. Kuna vitu vya ajabu kupindukia, ambavyo hutavisoma sehemu yoyote nyingine mitandaoni, isipokuwa tu Jf.

Anyway, all in all kuna siku nilimueleza jamaa fulani hapa, kwenye jukwaa hili. Kwamba kama kuna wakati mwafaka wa kuzidisha chuki dhidi ya Kenya ni sasa. Maanake hawa jamaa wawili ambao wananuia kuwa marais wa Kenya ndio manyang'au wa kweli. Iwe Ruto au Raila mambo yanaenda kubadilika kabisa ndani ya ukanda huu.

Rais Uhuru licha ya mapungufu yake, ikifika ni kwenye masuala yanayoihusu Afrika Mashariki alikuwa anayafanyia 'approach' kama mwana-AM, sio kama mkenya. Iwe ni kwenye migogoro ya kibiashara au hata siasa tu za kikanda, alikuwa anazingatia sanasana utu, sio ubabe. Hadi kuna wengi ambao walikuwa wanakwerwa na kuishia kusema kwamba yupo too soft. Hawa kina 'tinga' na 'hustler' ni 'ultra-nationalists', kama wanavosema kwa kimombo. Sio watu wa kupepesa macho hata kidogo, ikifika ni kwenye suala la kulifaidi taifa la Kenya. Kabla au hata kwa mgongo wa taifa lolote lingine ukanda huu.

Natabiri kwamba kwa miaka tano ijayo ushirikiano wa kweli, kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki, unaenda kufifia kwa kasi ya ajabu. Tena usishangae jumuiya hii ikielekea kufa kifo cha mende, miguu yote juu.
 
Elimu duni inachangia pia, kwa sana. Maanake kuna wengine hata concept rahisi tu ya biashara, huwa inawapiga chenga. Utasikia mwingine akisema kwamba wanailisha Kenya, kisa eti huwa wanawauzia wakenya mahindi. Kuna vitu vya ajabu kupindukia, ambavyo hutavisoma sehemu yoyote nyingine mitandaoni, isipokuwa tu Jf.

Anyway, all in all kuna siku nilimueleza jamaa fulani hapa, kwenye jukwaa hili. Kwamba kama kuna wakati mwafaka wa kuzidisha chuki dhidi ya Kenya ni sasa. Maanake hawa jamaa wawili ambao wananuia kuwa marais wa Kenya ndio manyang'au wa kweli. Iwe Ruto au Raila mambo yanaenda kubadilika kabisa ndani ya ukanda huu.

Rais Uhuru licha ya mapungufu yake, ikifika ni kwenye masuala yanayoihusu Afrika Mashariki alikuwa anayafanyia 'approach' kama mwana-AM, sio kama mkenya. Iwe ni kwenye migogoro ya kibiashara au hata siasa tu za kikanda, alikuwa anazingatia sanasana utu, sio ubabe. Hadi kuna wengi ambao walikuwa wanakwerwa na kuishia kusema kwamba yupo too soft. Hawa kina 'tinga' na 'hustler' ni 'ultra-nationalists', kama wanavosema kwa kimombo. Sio watu wa kupepesa macho hata kidogo, ikifika ni kwenye suala la kulifaidi taifa la Kenya. Kabla au hata kwa mgongo wa taifa lolote lingine ukanda huu.

Natabiri kwamba kwa miaka tano ijayo ushirikiano wa kweli, kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki, unaenda kufifia kwa kasi ya ajabu. Tena usishangae jumuiya hii ikielekea kufa kifo cha mende, miguu yote juu.
Hata Kibaki alikuwa soft sana kwa mambo yaliyohusu Kenya na majirani zake. Nakumbuka lile swala la kisiwa cha Migingo alivyoishugilikia. Niliudhika sana na alivyoihandle ile issue hadi waganda wakapeperusha bendera yao pale na kutuma polisi wao pia kule kudhulumu wakenya. Just like his predecessor, Uhuru followed in the footsteps of Kibaki. But I fear for EA just like you do. After 9th August this year, things might not be the same. Raila and Ruto are no pushovers
 
Unaposema Tanzania inategemea mikoa sita kuzalisha mahindi, sisi hutegemea eneo moja tu kwa mahindi ambayo ni north rift (commonly referred to as the bread basket of the country). These are Kitale in Trans Nzoia county and parts of Uasin Gishu county. Maeneo mengine ya magharibi ya Kenya such as Kisii, Nyamira, Migori, Kakamega nk hayana mashamba makubwa due to high population density but they produce enough for their own consumption. These places do not even depend on the maize grown in Kitale. They are self-reliant in this respect.

We are are not producing enough maize due to a myriad of reasons. One is that the few arable places are overpopulated hence only practice subsistance farming. The second reason is the pests and disease prevalence such as the army warm and locusts that destroy thousands of acres under maize crop. Though this can be mitigated, it leaves behind destruction with far-reaching affects. Erratic rain is also to blame and this has become a serious problem particularly in Kitale where rain either fails and comes late.
Bado mnarudi pale pale katika kutafuta sababu za kushindwa kwenu kuzalisha chakula, Kenya mpo na ardhi kubwa kushinda hata Uganda ambayo Kama mngetumia vizuri, mngeweza kuzalisha chakula cha kuwatosheni, Galana kulalu pekee ingeweza kuziba pengo la upungufu wa mahindi.

Hizo sababu unazotaja za "over population, Rwanda ni nchi yenye over population X5 ya Kenya lakini hawana shida ya chakula. Hizo erratic rains ni tatizo la nchi zote, lakini ni lazima nchi iweke mipango madhubuti ili kupunguza madhara ya hiyo "erratic rains".

Hivi hushangai kuona kwamba pamoja na kwamba Tanzania hatuna tatizo kubwa la ukame Kama Kenya, lakini ndio nchi iliyojenga miradi mingi ya kilimo cha umwagiliaji x4 ya Kenya. Kenya lazima mkubali kujifunza toka Tanzania katika Kilimo na uzalishaji wa chakula.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Bado mnarudi pale pale katika kutafuta sababu za kushindwa kwenu kuzalisha chakula, Kenya mpo na ardhi kubwa kushinda hata Uganda ambayo Kama mngetumia vizuri, mngeweza kuzalisha chakula cha kuwatosheni, Galana kulalu pekee ingeweza kuziba pengo la upungufu wa mahindi.

Hizo sababu unazotaja za "over population, Rwanda ni nchi yenye over population X5 ya Kenya lakini hawana shida ya chakula. Hizo erratic rains ni tatizo la nchi zote, lakini ni lazima nchi iweke mipango madhubuti ili kupunguza madhara ya hiyo "erratic rains".

Hivi hushangai kuona kwamba pamoja na kwamba Tanzania hatuna tatizo kubwa la ukame Kama Kenya, lakini ndio nchi iliyojenga miradi mingi ya kilimo cha umwagiliaji x4 ya Kenya. Kenya lazima mkubali kujifunza toka Tanzania katika Kilimo na uzalishaji wa chakula.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Umesahau kutaja kwamba hizi nchi mbili ulizotaja, ardhi yao ni arable 100% wakati sisi only a third of our land is arable. How did that pass you?
 
Kitu unasema ni sahihi ila inapotosha pale mtapotaka kupaint picha kwamba wakenya hawana mashamba yenye rotuba ya kulima, na kwamba Kenya yote ni kame. This is is the notioning we are trying to drive you away from. Hata ukiangalia comments zilizotangulia hapo juu, hii dhana kwamba Kenya ni kame kila mahali na kwamba hatulimi imejitokeza sana. Nenda Kitale, utakutana na mashamba makubwa ya mahindi running into hundreds of acres owned by individual farmers.
Ninyi wenyewe ndio mnaosema kwamba Kenya hamzalishi chakula cha kutosha kwasababu "75% ya ardhi yenu no jangwa, ninyi mnatumia hiyo sababu ili kukwepa kubali kwamba njaa Kenya hutokana na serikali yenu kushindwa kutimiza majukumu yake, badala yake mnasingizia hali ya ukame na jangwa

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Umesahau kutaja kwamba hizi nchi mbili ulizotaja, ardhi yao ni arable 100% wakati sisi only a third of our land is arable. How did that pass you?
Hiyo third arable land Kama mtaitumia vizuri inatosha kuzalisha chakula cha kuwatosha na kuuza nchi za nje. Kwa ukubwa wa eneo, third ya Kenya ni kubwa kuliko 100% ya Rwanda, kumbuka kwamba 50% ya ardhi ya Rwanda ni milima ya mawe, huwezi kulima.

Sasa Kama Kenya mpo na sehemu ndogo ambayo ni "arable land", tulitegeme eneo hilo dog ndio mngewekeza kwa kufanya kilimo cha kisasa zaidi kuliko Tanzania ambako tuna eneo kubwa, lakini cha kushangaza ni Tanzania ambako ndio tumejenga miradi mikubwa ya kilimo cha kisasa kuliko Kenya.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ninyi wenyewe ndio mnaosema kwamba Kenya hamzalishi chakula cha kutosha kwasababu "75% ya ardhi yenu no jangwa, ninyi mnatumia hiyo sababu ili kukwepa kubali kwamba njaa Kenya hutokana na serikali yenu kushindwa kutimiza majukumu yake, badala yake mnasingizia hali ya ukame na jangwa

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Only a third of Kenya's land is arable and this is a fact. What is not true is that Kenya is dry throughout, that we don't have fertile soil, and that almost every Kenyan relies on relief food. This is the gospel Tanzanians have been preaching in different threads in this forum. And this is what we are against.
 
Mwamba ana sera kama za dovutwa yule mgombea wetu aliyesema akishinda uraisi atafukuza wawekezaji wakati nchi nyingi zinawatafuta hao wawekezaji
 
Elimu duni inachangia pia, kwa sana. Maanake kuna wengine hata concept rahisi tu ya biashara, huwa inawapiga chenga. Utasikia mwingine akisema kwamba wanailisha Kenya, kisa eti huwa wanawauzia wakenya mahindi. Kuna vitu vya ajabu kupindukia, ambavyo hutavisoma sehemu yoyote nyingine mitandaoni, isipokuwa tu Jf.

Anyway, all in all kuna siku nilimueleza jamaa fulani hapa, kwenye jukwaa hili. Kwamba kama kuna wakati mwafaka wa kuzidisha chuki dhidi ya Kenya ni sasa. Maanake hawa jamaa wawili ambao wananuia kuwa marais wa Kenya ndio manyang'au wa kweli. Iwe Ruto au Raila mambo yanaenda kubadilika kabisa ndani ya ukanda huu.

Rais Uhuru licha ya mapungufu yake, ikifika ni kwenye masuala yanayoihusu Afrika Mashariki alikuwa anayafanyia 'approach' kama mwana-AM, sio kama mkenya. Iwe ni kwenye migogoro ya kibiashara au hata siasa tu za kikanda, alikuwa anazingatia sanasana utu, sio ubabe. Hadi kuna wengi ambao walikuwa wanakwerwa na kuishia kusema kwamba yupo too soft. Hawa kina 'tinga' na 'hustler' ni 'ultra-nationalists', kama wanavosema kwa kimombo. Sio watu wa kupepesa macho hata kidogo, ikifika ni kwenye suala la kulifaidi taifa la Kenya. Kabla au hata kwa mgongo wa taifa lolote lingine ukanda huu.

Natabiri kwamba kwa miaka tano ijayo ushirikiano wa kweli, kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki, unaenda kufifia kwa kasi ya ajabu. Tena usishangae jumuiya hii ikielekea kufa kifo cha mende, miguu yote juu.
Sasa unakataa kwamba Kenya hutegemea chakula toka Tanzania?, huko ndiko kuilisha Kenya tunakomaaanisha, Sasa wewe unajisikia unyonge kwasababu unaona Kama tunawadhalilisha, lakini huo ndio ukweli hata rais wenu alishasena kwama "Kenyans we can't feed ourselves, we depend on Tanzania and Uganda",

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo third arable land Kama mtaitumia vizuri inatosha kuzalisha chakula cha kuwatosha na kuuza nchi za nje. Kwa ukubwa wa eneo, third ya Kenya ni kubwa kuliko 100% ya Rwanda, kumbuka kwamba 50% ya ardhi ya Rwanda ni milima ya mawe, huwezi kulima.

Sasa Kama Kenya mpo na sehemu ndogo ambayo ni "arable land", tulitegeme eneo hilo dog ndio mngewekeza kwa kufanya kilimo cha kisasa zaidi kuliko Tanzania ambako tuna eneo kubwa, lakini cha kushangaza ni Tanzania ambako ndio tumejenga miradi mikubwa ya kilimo cha kisasa kuliko Kenya.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
That arable land in Kenya you are equating to the size of Rwanda is feeding as many people compared to the number of people Rwandan land is feeding. The dynamics aren't the same so this comparison doesn't make any sense at all.

Secondly, it isn't true that 50% ya ardhi ya Rwanda ni milima ya mawe. Rwanda has hills, not rocky hills. Those hills are fertile abd arable throughout the year. Unless you can prove to me that 50% of Rwandan hills are rocky and not arable.

Lastly, hebu nitajie hizo miradi mikubwa na ya 'kisasa' ya kilimo ambayo Tanzania imejenga nijue
 
Only a third of Kenya's land is arable and this is a fact. What is not true is that Kenya is dry throughout, that we don't have fertile soil, and that almost every Kenyan relies on relief food. This is the gospel Tanzanians have been preaching in different threads in this forum. And this is what we are against.
Sio kweli hata kidogo, siku zote huwa tunataja idadi na maeneo ambayo yanakabiliwa na njaa na ukame, mara nyingi tunaweka video za watu Turkana na Samburu, Kilifi na Pokot.

Ukweli ni kwamba, hili tatizo la njaa Kenya linawafedhehesha Sana Kama nchi, hasa kwa ninyi ambao hamuoni ni kwanini Kenya watu wanaendelea kufa kwa njaa miaka mingi baada ya kupata uhuru, kwahiyo tunapokua tunawacheka, huwa mnakasirika na kujisikia vibaya Sana.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Sasa unakataa kwamba Kenya hutegemea chakula toka Tanzania?, huko ndiko kuilisha Kenya tunakomaaanisha, Sasa wewe unajisikia unyonge kwasababu unaona Kama tunawadhalilisha, lakini huo ndio ukweli hata rais wenu alishasena kwama "Kenyans we can't feed ourselves, we depend on Tanzania and Uganda",

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile ap
Joto la Jiwe, I know you know this but let me just remind you for the avoidance of doubt. Tanzania does not enjoy monopoly of maize production in this region or veven in the world. We don't depend on Tanzanian maize to fix our deficit. We are BUYING maize from you just because of the spirit of the East African community. Actually, we are doing you a favour by buying your maize, you aren't doing us any favour. Do you think we will not get maize elsewhere if Tanzania stopped producing maize or if you refused to sell to us? Mahindi tumewahi nunua from as far as Mexico! We are buying the deficit using our money. We can decide to buy elsewhere hata kesho and there's nothing you can do about it. Mtakuja hapa with your usual 'hujuma' lullabie song and that's it!
 
Sio kweli hata kidogo, siku zote huwa tunataja idadi na maeneo ambayo yanakabiliwa na njaa na ukame, mara nyingi tunaweza video za watu Turkana na Samburu, Kilifi na Pokot.

Ukweli ni kwamba, hili tatizo la njaa Kenya linawafedhehesha Sana Kama nchi, hasa kwa ninyi ambao hamuoni ni kwanini Kenya watu wanaendelea kufa kwa njaa miaka mingi baada ya kupata uhuru, kwahiyo tunapokua tunawacheka, huwa mnakasirika na kujisikia vibaya Sana.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hakuna kufedheheshwa tumefedheheshwa. Sisi wakenya sio Kama nyinyi msiokubali mapungufu yenu. We take our problems as a challenge and work a way out of it. The progress might be slow but we are heading somewhere. It might take long but I believe it will be a thing of the past, especially with a change in regime in the pipeline.
 
That arable land in Kenya you are equating to the size of Rwanda is feeding as many people compared to the number of people Rwandan land is feeding. The dynamics aren't the same so this comparison doesn't make any sense at all.

Secondly, it isn't true that 50% ya ardhi ya Rwanda ni milima ya mawe. Rwanda has hills, not rocky hills. Those hills are fertile abd arable throughout the year. Unless you can prove to me that 50% of Rwandan hills are rocky and not arable.

Lastly, hebu nitajie hizo miradi mikubwa na ya 'kisasa' ya kilimo ambayo Tanzania imejenga nijue
Huu ubishi wenu wa kujaribu kukwepa ukweli kwamba tatizo kubwa la upungufu wa chakula Kenya ni kutokana na uzembe wenu, ndio sababu kubwa ya kuendelea kwa tatizo la njaa Kenya.

Haijalishi kwamba eneo la Rwanda linalisha watu wachache kuliko Kenya, muhimu ni kwamba Rwanda wanajitosheleza kwa chakula, Rwanda &Burundi are tiny countries, but don't rely on food donations or import big part of their food.

Kuhusu ushahidi kwamba 50% ya Rwanda kuwa ni rocky hills, kwanza wewe thibitisha kwamba "arable land in Kenya is only a third of your land.

Tanzania has constructed irrigation schemes which cover area almost 80k hacters of land, while Kenya only 20K hacters , you can visit google to confirm

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Joto la Jiwe, I know you know this but let me just remind you for the avoidance of doubt. Tanzania does not enjoy monopoly of maize production in this region or veven in the world. We don't depend on Tanzanian maize to fix our deficit. We are BUYING maize from you just because of the spirit of the East African community. Actually, we are doing you a favour by buying your maize, you aren't doing us any favour. Do you think we will not get maize elsewhere if Tanzania stopped producing maize or if you refused to sell to us? Mahindi tumewahi nunua from as far as Mexico! We are buying the deficit using our money. We can decide to buy elsewhere hata kesho and there's nothing you can do about it. Mtakuja hapa with your usual 'hujuma' lullabie song and that's it!
Hayo maneno ungemuambia rais wako ambaye alisema kwamba hamuwezi kujilisha mnategemea Tanzania na Uganda. Kumbuka kipindi mlichoturudishia dhahabu zetu zilizokamatwa huko JKIA, mlimtuma katibu mkuu wa Wizara ya kilimo kuja kuomba tuwauzie mahindi, ninyi ndio tunawafanyia favour, kumbuka kwamba chakula ni bidhaa adimu nchi nyingi zinahitaji chakula, kumbuka Zimbabwe, DRC, Burundi, Mozambique, Malawi ma Zambia, zote hutegemea chakula toka Tanzania, there is more demand than our capacity, we are selling to you just for spirit of EAC, it is a shame to sell to other countries while our closest neighbors are dying of hunger like flies.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom