Je asipofanya hilo kosa?Ni uhakika kabisa wanamlia timing tu na ni swala la muda kabla hamjasikia wamemtia nguvuni, hii itatokea Raila apende asipende, kama wamemkamata aliyemuapisha iweje aliyekula kiapo awe huru? Hivyo ninaamini kabisa watamshika Raila Odinga na kumfungulia mashitaka, sasa hivi wanamsubiri afanye kosa moja tu halafu wamshike, ...
Bora umwambieWewe kenge unadhani Kenya inatawaliwa na ccm?
Kalonzo n water melon tu bure sanaRaila yupo Kenya bana, jana jioni ameongea na wanahabari akiwa na vigogo wenza wa NASA, lakini hawakuwa wanaeleweka. Jamaa wamejawa na tumbo joto si mchezo, hadi Kalonzo, Mr. Tikitimaji, alikuwa anatiririkwa na machozi akijaribu kuwaeleza wafuasi wao kwanini hakuja bustani ya Uhuru Park kuapishwa. Eti alikuwa 'under house arrest' 😀 Usibonyeze kidude, afrosinema continues shortly.....
Uhuru keshakomaa kisiasa kaona raila ni joka la kibisa halina madhara kama alivyoamua amuache aapishwe basi atamwacha ili Raila aendelee kuonekana comedy
Bila bugudha? who told you that.....Raila ni moto mwingine. Wafuasi wake ni wehu hawasikii....wataiharibu Kenya kwa mambo ambayo yangeweza kuzungumzika.Naona umeelewa tactic za rais Uhuru Kenyatta, kilichobaki tu ni kifo cha Raila kisiasa. Alivoachiwa ajiapishe bila bughudha, ilikuwa ni kama tu ule mtego wa kumnasa kanga.
Kalonzo n water melon tu bure sana
Huyo jamaa muoga kama wanaume wa dsm
Sijakuelewa, unabisha kwamba rais U.K hakumuacha Raila ajiapishe bila wasiwasi wowote pale bustani ya Uhuru Park? Au unadhani polisi wa Kenya ndo walikuwa wote wameenda livu? Unasema Raila hakutenda kosa lolote? Mbona kama ni ubatizo wa kilokole ambao ulikuwa unafanyika hapo Uhuru Park, Kalonzo ni vigogo wenzake kwenye NASA si wangefika tu? We bana acha kukariri mambo ambayo huyaelewi hata kidogo!Bila bugudha? who told you that.....Raila ni moto mwingine. Wafuasi wake ni wehu hawasikii....wataiharibu Kenya kwa mambo ambayo yangeweza kuzungumzika.
Kwanini amezifungia KTN na Citizen TV and radio? hawajafanya makosa, zimefungiwa kabla ya kurusha matangazo ya kuapishwa.....assumptious.
Kwanini wamewakamata viongozi wengine?
Japo sio mnazi wa Raila, ila ukweli lazima usemwe tu. hajatenda kosa, labda wamfanye mbaya kama sizonje anavyowafnyia watu...