CleverKING
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 8,502
- 25,470
Mkuu una uhakika kua huo msemo uko hivyo?
Yawezekana kuna kukosea lakini semanticaly uko sawa.Mkuu una uhakika kua huo msemo uko hivyo?
Akili huna wewe
Mtu yeyote ni mkubwa kuliko kenya!!Raila Odinga nae tumemchoka sasa. Afrika ya Mashariki tumechelewa sana Kimaendeleo hivyo inatubidi sasa tushikamane hasa Kiumoja tuweze kwenda mbele. Kwani Raila Odinga alizaliwa na kuhakikishiwa na Mwenyezi Mungu kuwa kabla hajafa / hajafariki atakuwa Rais wa Kenya?
Kenya ni Kubwa kuliko Mtu yoyote.