Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama haki yake imeporwa m namuunga mkono aitafute tu kwa juhudi zote maana aliyeipora ndio kayataka yote haya ckua upande wa odinga bt kwa hili mzee km unaona umeingiliwa kwny haki yako jitahidi upambane na hali yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa unafanya nini Kenya section? Rudi T.Z section upambane na hali yakoKenyan problems shall be solved by Kenyans....kila mtu apambane na hali yake,lakini wahakikishe sisi hawatutingishi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama yake alimkoshea mraisi alipozaliwa.[emoji3][emoji16][emoji23].Raila Odinga nae tumemchoka sasa. Afrika ya Mashariki tumechelewa sana Kimaendeleo hivyo inatubidi sasa tushikamane hasa Kiumoja tuweze kwenda mbele. Kwani Raila Odinga alizaliwa na kuhakikishiwa na Mwenyezi Mungu kuwa kabla hajafa / hajafariki atakuwa Rais wa Kenya?
Kenya ni Kubwa kuliko Mtu yoyote.
Well said mkuu, sijui kwa nini baadhi ya members wanambeza Raila? Ukichunguza Waswahili wengi wanao msema vibaya Odinga utakuta ni wale wenye chuki binafsi dhidi ya JPJM!!!
Kila mtu mwenye akili timamu anajua Odinga alichezewa rafu katika uchaguzi huu, uthibitisho ni kuuwawa kwa Mkurugenzi Mkuu aliye kuwa ana simamia mission critical ICT system, mtambo huo ndiyo kila kitu, mtu akifanikiwa kuhu-hack ndio basi tena - Uhuru na kundi lake walijua sana ukweli huo, hivyo kuuwawa kwa msimamizi mkuu wa tehama hasa baada ya yeye kusema hakuna Mkenya yeyote anayeweza kuingilia system hiyo na kufanikiwa kuiba kura, aliongezea kwamba awezi kumwambia yoyote jinsi system hhiyo inavyo fanya kazi labda wamkate mkono ndio anaweza kutoa siri, sasa nini kilifuatia baada ya kutoa kauli hiyo kwenye Luninga - jamaa walituma mwanamke ambaye alikuwa rafiki yake wakawawekea mtego na kuwauua wote, hawakuishia hapo walimtesa na baadae kukata mkono wake - what does that tell you about matokeo ya uchaguzi tunao ushuhudia huko Kenya - kuna tatizo si bure.
Mimi nashangazwa sana kwa maoni ya waangalizi wa upigaji kura kutoka nje, kwa nini kuuwawa kwa mtu anaye simamamia roho/brain ya kutoa takwimu kamili ya upigaji kura naona waangalizi awakuchukulia tukio hilo ovu seriously - mimi nilitegemea wangesema kura zirudiwe kwa kutumia Sytem mpya yenye wasimamizi kutoka nje - hilo alikufanyika badala yake wanalazimisha Raila eti akubali kushindwa - hii inaleta picha gani kuhusu chaguzi barani Africa? Ni aibu tupu.
Well said mkuu, sijui kwa nini baadhi ya members wanambeza Raila? Ukichunguza Waswahili wengi wanao msema vibaya Odinga utakuta ni wale wenye chuki binafsi dhidi ya JPJM!!!
Kila mtu mwenye akili timamu anajua Odinga alichezewa rafu katika uchaguzi huu, uthibitisho ni kuuwawa kwa Mkurugenzi Mkuu aliye kuwa ana simamia mission critical ICT system, mtambo huo ndiyo kila kitu, mtu akifanikiwa kuhu-hack ndio basi tena - Uhuru na kundi lake walijua sana ukweli huo, hivyo kuuwawa kwa msimamizi mkuu wa tehama hasa baada ya yeye kusema hakuna Mkenya yeyote anayeweza kuingilia system hiyo na kufanikiwa kuiba kura, aliongezea kwamba awezi kumwambia yoyote jinsi system hhiyo inavyo fanya kazi labda wamkate mkono ndio anaweza kutoa siri, sasa nini kilifuatia baada ya kutoa kauli hiyo kwenye Luninga - jamaa walituma mwanamke ambaye alikuwa rafiki yake wakawawekea mtego na kuwauua wote, hawakuishia hapo walimtesa na baadae kukata mkono wake - what does that tell you about matokeo ya uchaguzi tunao ushuhudia huko Kenya - kuna tatizo si bure.
Mimi nashangazwa sana kwa maoni ya waangalizi wa upigaji kura kutoka nje, kwa nini kuuwawa kwa mtu anaye simamamia roho/brain ya kutoa takwimu kamili ya upigaji kura naona waangalizi awakuchukulia tukio hilo ovu seriously - mimi nilitegemea wangesema kura zirudiwe kwa kutumia Sytem mpya yenye wasimamizi kutoka nje - hilo alikufanyika badala yake wanalazimisha Raila eti akubali kushindwa - hii inaleta picha gani kuhusu chaguzi barani Africa? Ni aibu tupu.
wewe na raila akili zenu hazipishani, eti alichezewa rafu, uthibitisho wako na raila ni kuuwawa kwa bosi wa ICT ndan ya IEBC!! duh!
Usifananishe uchaguzi huru wa Kenya na vichekesho tunafanya hapa Tanzania.Bad looser!!
Africa, wapinzani ikiwemo chadema hawajawahi kukubali matokeo hata yawe transparent kiasi gani!!
Ni kama ndio utaratibu.
Ungekuwa unahifahamu vizuri Kenya na makabila yake na kampeni zinavyo kuwa husingeyaandika kama ulivyo andika hapo juu. Mjaluo hawezi tarajia ushindi wa urais kama hajaungwa mkono na kwa kiwango fulani na jamii kubwa ya Wakikuyu na majirani zake Wakalenjin. Huyu jamaa akishindwa anadai kaibiwa. Safari hii kuna maana hata mawakala wote wa chama chake wameshiriki kumwibia?Well said mkuu, sijui kwa nini baadhi ya members wanambeza Raila? Ukichunguza Waswahili wengi wanao msema vibaya Odinga utakuta ni wale wenye chuki binafsi dhidi ya JPJM!!!
Kila mtu mwenye akili timamu anajua Odinga alichezewa rafu katika uchaguzi huu, uthibitisho ni kuuwawa kwa Mkurugenzi Mkuu aliye kuwa ana simamia mission critical ICT system, mtambo huo ndiyo kila kitu, mtu akifanikiwa kuhu-hack ndio basi tena - Uhuru na kundi lake walijua sana ukweli huo, hivyo kuuwawa kwa msimamizi mkuu wa tehama hasa baada ya yeye kusema hakuna Mkenya yeyote anayeweza kuingilia system hiyo na kufanikiwa kuiba kura, aliongezea kwamba awezi kumwambia yoyote jinsi system hhiyo inavyo fanya kazi labda wamkate mkono ndio anaweza kutoa siri, sasa nini kilifuatia baada ya kutoa kauli hiyo kwenye Luninga - jamaa walituma mwanamke ambaye alikuwa rafiki yake wakawawekea mtego na kuwauua wote, hawakuishia hapo walimtesa na baadae kukata mkono wake - what does that tell you about matokeo ya uchaguzi tunao ushuhudia huko Kenya - kuna tatizo si bure.
Mimi nashangazwa sana kwa maoni ya waangalizi wa upigaji kura kutoka nje, kwa nini kuuwawa kwa mtu anaye simamamia roho/brain ya kutoa takwimu kamili ya upigaji kura naona waangalizi awakuchukulia tukio hilo ovu seriously - mimi nilitegemea wangesema kura zirudiwe kwa kutumia Sytem mpya yenye wasimamizi kutoka nje - hilo alikufanyika badala yake wanalazimisha Raila eti akubali kushindwa - hii inaleta picha gani kuhusu chaguzi barani Africa? Ni aibu tupu.
Wewe jamaa comments zako nyingi huwa hushirikishi ubongo.