Raila Odinga na Quality Center

Raila Odinga na Quality Center

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937
[h=3]ODINGA ATUA DAR KUZINDUA QUALITY CENTER[/h]

Bwana Laila Odinga akishuka toka kwenye ndege,pindi alipowasili nchini Tanzania.
Akisalimiana na mwenyeji wake ambaye ni mmiliki wa Quality Centre, Yusuf Manji. Anayeshuhudia katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Meck Sadiq.
WAZIRI Mkuu wa Kenya, Raila Odinga, jana jioni alitua hapa nchini kwa ajili ya shughuli za uzinduzi wa jengo la kisasa la biashara la Quality Centre, lililopo Barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam. Shughuli hizo hizo zinatarajiwa kuzinduliwa leo asubuhi.


[FONT=Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif]------------------[/FONT]

[FONT=Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif]My take: Yawezekana kabisa wakenya wakawa na Hisa hapo Quality Center Mall, ?? Manji hakuona vioongozi mashuhuri ha[pa nchini mpaka amfute Laila Kuzindua??[/FONT]
 
raila odinga atakuwa na hisa Uchumi supermaket iliyopanga kwenye jengo la quality centre
 
Back
Top Bottom