johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tuna Imani na kiongozi Wetu Tundu Antipas Lisu lakini bado hajafikia level za Wapinzani wa huko Duniani, na huo ndio ukweli.
Jana hapo Kenya palikuwa na majibizano ya ana kwa ana Kati ya Raila Odinga na Rais Ruto wakiwa Msibani na hatimaye Ruto akasema " mh Waziri mkuu mstaafu katika mambo ya kupanda gharama za Maisha na Kodi ni ama Watu wako wanakudanganya au Mimi Watu wangu ndio Wananidanganya"
Wapinzani wa Tanzania mbele ya Rais ni Watu wa kujipendekeza sana labda yule Heche wa Tarime Vijijini.
Dominica Njema!
Jana hapo Kenya palikuwa na majibizano ya ana kwa ana Kati ya Raila Odinga na Rais Ruto wakiwa Msibani na hatimaye Ruto akasema " mh Waziri mkuu mstaafu katika mambo ya kupanda gharama za Maisha na Kodi ni ama Watu wako wanakudanganya au Mimi Watu wangu ndio Wananidanganya"
Wapinzani wa Tanzania mbele ya Rais ni Watu wa kujipendekeza sana labda yule Heche wa Tarime Vijijini.
Dominica Njema!