Raila Odinga Surpasses Kenyatta by 1%

Huu ni ukweli kabisa utafiti wangu ambao si wa kitaalamu na wa haraka haraka kwa baadhi ya rafiki zangu wa Kikenya umenionyesha kwamba Kenyatta anaungwa mkono na wengi sana. Kura hubadilika dakika za mwisho na kuleta matokeo tofauti na yale ya opinion polls. Raila ana kazi nzito sana ya kumuangusha Kenyatta.

It is very hard for Odinga to become the next president of Kenya.
 
Kama akiwin Omela cdm tuntakua na gundu sana, why kila tunaemsapot akose[emoji33]

CDM inabidi wabalehe sasa, si sahihi kabisa kwa wao na wamecheza kamari kubwa kwa wao kutangaza hadharani wanamuunga mkono Kenyata. CCM wao dakika za mwisho watatoa tu statement ya kuwatakia wakenya uchaguzi mwema na watamuunga mkono yoyote wakenya watakayemchagau, hawachezi kamari za kijinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…