Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
Kiongozi wa Muungano wa Upinzani Nchini Kenya(NASA), Raila Amolo Oginga Odinga amesema kuwa ataapishwa kuwa rais wa taifa hilo mnamo tarehe 12 mwezi Disemba na kuingia Ikulu rasmi.
Kauli hii ya Raila Odinga imekuja saa chache baada ya Rais Mteule wa Taifa hilo, Uhuru Kenyatta kuapishwa katika Uwanja wa Kasarani.
Asema kuwa Uhuru Kenyatta si rais wa Kenya hivyo yeye hatoapishwa kama kiongozi wa Upinzania Nchini Uganda, Kizza Besigye bali ataapishwa kama Emmerson Mnangagwa alivyoapishwa nchini Zimbabwe.
======
Opposition chief Raila Odinga has announced that he will be sworn-in as President and get into State House on December 12.
The NASA leader withdrew an earlier statement against this shortly after Uhuru Kenyatta and William Ruto's swearing-in at Kasarani stadium on Tuesday.
"Uhuru Kenyatta is not the President of Kenya. We will not be sworn-in like [Ugandan Opposition leader Kizza] Besigye. We will be sworn-in like it was done with Mnangagwa in Zimbabwe," he said
"They have sworn-in Uhuru as President. We will also have a swearing-in]."
Chaos then broke as police moved in to disperse the supporters. They fired many gunshots and teargassed Raila's convoy.
- The Star