RAILA ODINGA: Tarehe 12, Disemba nitapishwa na kuingia Ikulu

RAILA ODINGA: Tarehe 12, Disemba nitapishwa na kuingia Ikulu

hiyo maongeo ya Raila ni sign ya kuwa senile, ugonjwa ya uzee inayopunguza kufikiria kwa akili.
 
View attachment 639787

Kiongozi wa Muungano wa Upinzani Nchini Kenya(NASA), Raila Amolo Oginga Odinga amesema kuwa ataapishwa kuwa rais wa taifa hilo mnamo tarehe 12 mwezi Disemba na kuingia Ikulu rasmi.

Kauli hii ya Raila Odinga imekuja saa chache baada ya Rais Mteule wa Taifa hilo, Uhuru Kenyatta kuapishwa katika Uwanja wa Kasarani.

Asema kuwa Uhuru Kenyatta si rais wa Kenya hivyo yeye hatoapishwa kama kiongozi wa Upinzania Nchini Uganda, Kizza Besigye bali ataapishwa kama Emmerson Mnangagwa alivyoapishwa nchini Zimbabwe.

======
Opposition chief Raila Odinga has announced that he will be sworn-in as President and get into State House on December 12.

The NASA leader withdrew an earlier statement against this shortly after Uhuru Kenyatta and William Ruto's swearing-in at Kasarani stadium on Tuesday.

"Uhuru Kenyatta is not the President of Kenya. We will not be sworn-in like [Ugandan Opposition leader Kizza] Besigye. We will be sworn-in like it was done with Mnangagwa in Zimbabwe," he said

"They have sworn-in Uhuru as President. We will also have a swearing-in]."

Chaos then broke as police moved in to disperse the supporters. They fired many gunshots and teargassed Raila's convoy.

- The Star
afanye yake kwani anawasumbua Wakenya kuwaandamanisha mwisho wa siku wananchi wanaishia kupigwa virungu halafu yeye anatoka salaama! Nawaombea Wakenya waachane na hii mambo kwasasa waijenge nchi yao siasa zina muda wake!
 
Mi nimeishia kucheka tu baada ua kusoma hii habari....
 
afanye yake kwani anawasumbua Wakenya kuwaandamanisha mwisho wa siku wananchi wanaishia kupigwa virungu halafu yeye anatoka salaama! Nawaombea Wakenya waachane na hii mambo kwasasa waijenge nchi yao siasa zina muda wake!
we nani, eto nawashauri, we kama nani?
 
Bangi si lazima uvute,hata ukitazama kwenye picha itakulewesha
 
View attachment 639787

Kiongozi wa Muungano wa Upinzani Nchini Kenya(NASA), Raila Amolo Oginga Odinga amesema kuwa ataapishwa kuwa rais wa taifa hilo mnamo tarehe 12 mwezi Disemba na kuingia Ikulu rasmi.

Kauli hii ya Raila Odinga imekuja saa chache baada ya Rais Mteule wa Taifa hilo, Uhuru Kenyatta kuapishwa katika Uwanja wa Kasarani.

Asema kuwa Uhuru Kenyatta si rais wa Kenya hivyo yeye hatoapishwa kama kiongozi wa Upinzania Nchini Uganda, Kizza Besigye bali ataapishwa kama Emmerson Mnangagwa alivyoapishwa nchini Zimbabwe.

======
Opposition chief Raila Odinga has announced that he will be sworn-in as President and get into State House on December 12.

The NASA leader withdrew an earlier statement against this shortly after Uhuru Kenyatta and William Ruto's swearing-in at Kasarani stadium on Tuesday.

"Uhuru Kenyatta is not the President of Kenya. We will not be sworn-in like [Ugandan Opposition leader Kizza] Besigye. We will be sworn-in like it was done with Mnangagwa in Zimbabwe," he said

"They have sworn-in Uhuru as President. We will also have a swearing-in]."

Chaos then broke as police moved in to disperse the supporters. They fired many gunshots and teargassed Raila's convoy.

- The Star
ndiyo maana kuna mtu hakwenda anasubiri mwezi ujao?
 
Bora lowasa alikubali mapema na akatuliza wafuasi wake. Lkn huyu.....mh
 
Back
Top Bottom