Raila Odinga, video inatoa Somo zuri kwetu Watanzania!

Raila Odinga, video inatoa Somo zuri kwetu Watanzania!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Chukuwa muda wako kuisikiliza, Raila Odinga kama mpinzani Mkuu nchini Kenya akiulizwa maswali magumu ambapo anajikanyaga na kushindwa kujibu kama vile kuiba kura, vile vile anaulizwa kama vile yeye kutokukubali kushindwa na kuona kwamba yeye tu ndiyo anafaa kuwa Raisi wa Kenya na apele anapokataliwa basi kaibiwa kura n.k.!
 
Kajishugulishe na MACCM yenu.....Kenya pekee ndiko kuna demokrasia kwenye ukanda huu wote, ripoti za kimataifa zimethibitisha.
 
Atleast Raila causes sleepless nights for JP

na Raila ameleta

Multi partysm 1991
Kibaki 2002 -end of Kanu
New constitution 2005 referendum
Mau forest rehabilitation
Eurobond scandal whistle blower
Nys scam whistle blower
IEBC commisioners exit


Sai Raila akisema hakuna stima nakuru

Jubilee watakimbia kenya power kuleta stima Nakuru

Nyinyi Chadema kukoje???

Before election results wote walikuwa wamewekwa ndani ....
 
Chukuwa muda wako kuisikiliza, Raila Odinga kama mpinzani Mkuu nchini Kenya akiulizwa maswali magumu ambapo anajikanyaga na kushindwa kujibu kama vile kuiba kura, vile vile anaulizwa kama vile yeye kutokukubali kushindwa na kuona kwamba yeye tu ndiyo anafaa kuwa Raisi wa Kenya na apele anapokataliwa basi kaibiwa kura n.k.!


Nashangaa Wamirembe bado wanajisahau na kumuunga mkopo kana kwamba. Wa Abaluhya hamna anayefaa kuwa Rais miaka yote! Musyoka wakati huu pia atapigwa ngeu - the two should learn from previous mistakes and immediately support UhuRuto as there is a saying which says if you cannot defeat them better join them so as kupata bila jasho keki ya Taifa kuliko kila wakati kufanya maandamano yasiyo na faida kwa watu wao! This is just my personal advice!
 
Atleast Raila causes sleepless nights for JP

na Raila ameleta

Multi partysm 1991
Kibaki 2002 -end of Kanu
New constitution 2005 referendum
Mau forest rehabilitation
Eurobond scandal whistle blower
Nys scam whistle blower
IEBC commisioners exit


Sai Raila akisema hakuna stima nakuru

Jubilee watakimbia kenya power kuleta stima Nakuru

Nyinyi Chadema kukoje???

Before election results wote walikuwa wamewekwa ndani ....
Yes your deity has brought some of those that you list because you know what, he is the only one with some mad following that is prepared to take Kenya down if he does not head it; the rest are grown ups who understand the ramifications.
 
Back
Top Bottom