Raila Odinga Vs Uhuru Kenyatta....hamna mshindi roundi ya kwanza!

Raila Odinga Vs Uhuru Kenyatta....hamna mshindi roundi ya kwanza!

Ukabila Kenya hautokoma Kabaridi, and u know it. Mbona tena unailenga kwangu kana kwamba
mie ndie mdau wa ukabila? Wakenya wenyewe nd'o wakabila...hususan jamaa za mitaa ya kati.

Unaposema Sonko anatosha usenator unamaanisha nini maana sikuelewi?

By the way hizo siasa za Nairobi mimi ni by-stander na simo kabisa. Kwangu mimi ni
Mombasa na nitakuja na nyuzi kali kuhusu hio sehemu hivi karibuni.

Jiji mnalo nyie.

Tunajaribu sana kuilenga hi ukabila kwa sana kwa sababu inagawanya taifa. Wakati CORD inachakachua aspirants wa USeneta kwa madai ya national outlook! kutoa bi Ongoro kutoka useneta kwa madai ya kuweka mkikuyu to capitalize on a NBI kikuyu vote ni udikteta na inadhulumu haki za Bi Ongoro. Is this CORD for real infringing on womens rights to self-determination?

Alivosema bi ongoro kwenye vyombo vya habari yaonekana there were no consultations and consensus. Bi ongoro anajiamini na alikuwa amejenga miundo msingi za nguvu na wakazi wa NBI. Yule aliyesimama kasarani ameenda wapi sasa? Amepewa pesa taslimu anyamaze na astaafu kwenda nyumbani au vipi?! unaweza tupatia uhondo how CORD family politics is currently being driven!:smile::A S 465:
 
Najua mchuano utakuwa mkali sana,but at the end of the day, Raila will win the game!
 
Raila atatawala Kenya!

Halafu pia napendekeza awe Raisi wa Kwanza wa Afrika Mashariki!

Aanweza na ni Mkweli ana Mwadilifu!
 
Tunajaribu sana kuilenga hi ukabila kwa sana kwa sababu inagawanya taifa. Wakati CORD inachakachua aspirants wa USeneta kwa madai ya national outlook! kutoa bi Ongoro kutoka useneta kwa madai ya kuweka mkikuyu to capitalize on a NBI kikuyu vote ni udikteta na inadhulumu haki za Bi Ongoro. Is this CORD for real infringing on womens rights to self-determination?

Alivosema bi ongoro kwenye vyombo vya habari yaonekana there were no consultations and consensus. Bi ongoro anajiamini na alikuwa amejenga miundo msingi za nguvu na wakazi wa NBI. Yule aliyesimama kasarani ameenda wapi sasa? Amepewa pesa taslimu anyamaze na astaafu kwenda nyumbani au vipi?! unaweza tupatia uhondo how CORD family politics is currently being driven!:smile::A S 465:

Bro,

lemmie clarify something here...Im not a member of CORD na kuna wakati unaniuliza maswali hata
sijui nikujibu vipi mazee...:shut-mouth:

These party nomnations have been a sham on both sides and I believe agree on that. Im gonna
say in for the record, I'm against direct nominations because that goes against the institutions of
democracy....be it ODM, TNA, URP or whatever political party that may be. I hope umenipata hapo.

Tuzidi kusonga mbele na huu mjadala ambao ni kuhusu Raila na UK not being able to win the
election in the first round.

Swadaktaa.

PS...By the way I enjoy 'sparring' with you on alll matters political...:glasses-nerdy:..and thank you for keeping the
debates lively. As they say in KE...wewe ni wetu!
 
Ukichora picha kwa darubini yenye tija, bado hiyo kitu wamechakachua. Uhuru atashinda huu uchaguzi kwa kimbuga. subiri mje muone.
 
Kuna mtu kanichekesha kwa kusema Kenya inauwezekano wa kuitwa "Gangsters Paradise" baada ya kura.

Cheki hapa mfano....:becky:

President Uhuru Kenyatta...Wanted

Vice-President William Ruto...Wanted.

Governor Ferdinand Waititu...anayejulikana kwa kuanzisha vurugu na kupiga watu mawe. 'Embakasi style justice'

Senator Gideon Mbuvi Sonko....huyu nadhani mnafahamu ishu zake.

Kabogo...Zungu la Unga na tapeli mkuu...anashtuma za kumuua mwanafunzi wa chuo kikuu cha Nairobi

Mary Wambui...Zungu la Unga

Hao watajwa wakichukua nchi tu, all international wanted criminals wataanza kukimbilia Nairobi kwenye paradise....:becky:
 
heheh something u pipo dont get most kiuks can neva vote 4 ODM even if its one of them Wanjiru z viewed as a msariti to many kiuks thats spoils it...sonko will ride free to b senator even if he dont do campaign i can bet on dat he z unopposed all TNA votes ni zake + some of Cords in senetorial this round Nairobi will b red
 
heheh something u pipo dont get most kiuks can neva vote 4 ODM even if its one of them Wanjiru z viewed as a msariti to many kiuks thats spoils it...sonko will ride free to b senator even if he dont do campaign i can bet on dat he z unopposed all TNA votes ni zake + some of Cords in senetorial this round Nairobi will b red

From your postings on this forum, you are a big tribalist and its people like you who will kill Kenya.
 
Back
Top Bottom