stujadiliane
Member
- Jun 2, 2017
- 66
- 84
Wewe ndio wale wale rais wa Kuwait ni ObamaKinara wa Nasa Raila odinga ataapishwa mara tu baada ya uchaguzi Mkuu unaotegemewa kufanyika alhamis kupita
na ikitokea umevuta basi tafuta sehemu ukaeBila kushindana Mkuu? Atakayeshinda ndo ataapishwa.
Alafu bangi haivutwagi Mchana hivi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Tumekusikia jecha wa Kenya