Raila reveals his next move if he loses in August 8.

Raila reveals his next move if he loses in August 8.

Hili swali nimekuwa nakujibu mara kwa mara, nashangaa ulivo kichwa ngumu kulielewa!

Haya sema nyie mlifanya nini!? Kama hamkuhusika kufanya wizi kadhaa huko Rwanda

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.

Huna uwezo wa kunijibu hili swali maana sote tuliona kilichotendeka kule huku mkikenua meno na kuwachekea wale 'ndugu' zenu.
 
Huna uwezo wa kunijibu hili swali maana sote tuliona kilichotendeka kule huku mkikenua meno na kuwachekea wale 'ndugu' zenu.
sitaki nianze kurudia hapa aliyoyafanya Nyerere huko, ngoja nimwache mzee wangu apumzike
Wewe uliyezoea kuchekelea uendelee kucheka

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Cha msingi ni kila Mkenya aamke asubuhi tarehe nane na kutimiza haki yake ya msingi kwa amani. Najua hii kauli ya Raila inawauma sana nyie Wabongo maana wengi wenu mnategemea sana fujo zitendeke ili iwe mtaji kwenu. Nawahakikishia tukivuka uchaguzi bila vurugu, msahau milele kuifikia Kenya kicuhumi, kielimu na kwa kila kitu.

Yaani naomba tuvuke tu vizuri, yeyote atakayekua rais sijali, iwe Raila au tuendelee na Uhuru, lakini tuvuke vizuri na kuendelea kuwanyoosha nyie.
well said bruh! yaani tuwe na amani baada ya uchaguzi...tz lazma wanyoroshwe...Kenya si nchi ya kujifananisha nayo klia uchao
 
Cha msingi ni kila Mkenya aamke asubuhi tarehe nane na kutimiza haki yake ya msingi kwa amani. Najua hii kauli ya Raila inawauma sana nyie Wabongo maana wengi wenu mnategemea sana fujo zitendeke ili iwe mtaji kwenu.

We ndie Bash...... wa Kenya siamini kama kuna mkenya angeandika porojo kama hilo
 
Mwanasiasa anayeongelea hypotheticals za kushindwa uchaguzi kabla uchaguzi haujafanyika, ameshashindwa kabla hata hajaanza.

Wanasiasa wazoefu hukataa kuongelea hypotheticals kama hizo.

Kocha anayeanza kuongelea timu kufungwa kabla mechi haijafanyika, anaua morale ya timu.

Hili tu linaonyesha Raila hafai kuongoza. Atakwenda kwenye nyanja za kimataifa huko watu wanatumia saikolojia ya juu, atashindwa ku negotiate mambo.
Namkubali sana Donald Trump, aliweka wazi kuwa hawezi kushindwa na hayuko tayari kukubali kushindwa... alijiamini na kusimamia ndoto yake...
 
Cha msingi ni kila Mkenya aamke asubuhi tarehe nane na kutimiza haki yake ya msingi kwa amani. Najua hii kauli ya Raila inawauma sana nyie Wabongo maana wengi wenu mnategemea sana fujo zitendeke ili iwe mtaji kwenu. Nawahakikishia tukivuka uchaguzi bila vurugu, msahau milele kuifikia Kenya kicuhumi, kielimu na kwa kila kitu.

Yaani naomba tuvuke tu vizuri, yeyote atakayekua rais sijali, iwe Raila au tuendelee na Uhuru, lakini tuvuke vizuri na kuendelea kuwanyoosha nyie.
inaonekana unaumwa ugonjwa aina ya Tanzania maana usipoitaja tanzania kwenye post na comments zako hufurahii ngoja ni kwambie tu kwamba Tanzania sio marekani kwamba mkipigana tutawauzia silaha we wish Kenyans all the best. Chagueni vizuri msipigane mmalize uchaguzi salama halafu njooni tuendelee kushindana kiuchumi kama mtaendelea kuwa mbele kiuchumi all the best tukiwazidi inshallah
 
Back
Top Bottom