RAILA reveals SECRET MEETINGS between UHURU/ RUTO’s group and Supreme Court and MEDIA favouring them

RAILA reveals SECRET MEETINGS between UHURU/ RUTO’s group and Supreme Court and MEDIA favouring them

Status
Not open for further replies.
Ajiandae kushika jembe huyu popooo

anauwezo wa kulisha ukoo wenu zaidi ya miaka mia.tatizo tunacoment hata bila kuchambua kiundani,chanzo cha habari ni gazeti la wakikuyu.kwa kuwa sisi waTz tumezoea kuchangia bila kutafakari.
 
It's like there is a concerted effort to trash Raila Odinga in these forums.

there you are,this forum has been hijacked by kikuyu mafias.kama hatutakuwa makini kuchambua posts na kujua vyanzo vyake kwa umakini tutajikuta tunatekwa kifikira na hawa jamaa.kumbuka wamemuaga vijana wengi mitandaoni kueneza propaganda.
 
anauwezo wa kulisha ukoo wenu zaidi ya miaka mia.tatizo tunacoment hata bila kuchambua kiundani,chanzo cha habari ni gazeti la wakikuyu.kwa kuwa sisi waTz tumezoea kuchangia bila kutafakari.

Kwa hiyo gazeti la wakikuyu haliruhusiwi kuriport sio? kama habari ni ya kupikwa jikoni na wamewekewa maneno mdomoni nafikiri unafahamu jinsi gani gazeti linavyoshughurikiwa na mhariri wake. Vinginevyo habari ni valid mpaka iwe proved otherwise na walioandikwa. na sio wewe hapo, tafakari, hatuhitaji ndoboro.
 
Huyu jamaa ni bure sana japo anawashabiki wengi humu. Kawaida, mtu mbovu huwa kila siku anaonewa yeye tu. Bado nafikiri hukumu hato ikubali na atataka kwenda mtaani.

Raila ni mlalamishi sana wakati hana kitu kichwani...ye kazi yake ni kulalamika tu
 
Raila get over it already. Take a leaf from Gore or something.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom