Raila to beat Jubilee’s Uhuru in first round, says new poll

Raila to beat Jubilee’s Uhuru in first round, says new poll

Mwita Maranya kumbe umelala usingizi hata hujui Raila tayari alikwisha kuzindua kampeni zake pale uhuru park na mahudhurio hayafikii hata nusu ya hii ya leo? Kuhusu ukabila...................kenya is tribalistic and there is no a better than anybody else............................CORD ina sura ya utaifa na jubille ni makabila mawili tu.............Na Charity ngilu naye ni kabila ipi, Najib balala...........................ungeliwaona leo wakubwa wa Jubilee....................tatizo hata TV za matangazo ya kenya sidhani kama huwa unaiangalia......it is game over....................

Charity Ngilu is no longer powerful ukambani as she used to be, the same applies to Najib Balala huko pwani.
Halafu ruta uache madharau yako ya kihaya, mimi natumia kitu cha digiti tangu 2010 halafu unataka kuniambia nini hata kama kweli mkutano wa Railonzo uhuru park ulinipita si rahsi kukaa kwenye tv kila siku muda wote na kufuatilia taarifa zote za habari. Hata hivyo najua Raila anakubalika sana nairobi kuliko unavyom-underate.
 
Hata mie naamini game-over kwa Raila. Maana uhuru/ruto/balala.ngilu na wengine. mhhh Raila atapenya je hapo?

Hommie usimchukulie poa kiasi hicho Raila, jamaa anajua fitna za siasa na mbinu za uchaguzi. Bado ni mapema sana kwakuwa hata jubilee wenyewe wanafanya kila mbinu kuweka mambo sawa na UDF na Eagle ili wasiposhinda moja kwa moja raundi ya kwanza basi wawaunge mkono kwenye raundi ya pili, kwahiyo the game is just in the beginning!
 
Charity Ngilu is no longer powerful ukambani as she used to be, the same applies to Najib Balala huko pwani.
Halafu ruta uache madharau yako ya kihaya, mimi natumia kitu cha digiti tangu 2010 halafu unataka kuniambia nini hata kama kweli mkutano wa Railonzo uhuru park ulinipita si rahsi kukaa kwenye tv kila siku muda wote na kufuatilia taarifa zote za habari. Hata hivyo najua Raila anakubalika sana nairobi kuliko unavyom-underate.

Mwita Maranya hii stereotyping ya wahaya imenichekesha sana....................Be Blessed in the LORD.
 
Hommie usimchukulie poa kiasi hicho Raila, jamaa anajua fitna za siasa na mbinu za uchaguzi. Bado ni mapema sana kwakuwa hata jubilee wenyewe wanafanya kila mbinu kuweka mambo sawa na UDF na Eagle ili wasiposhinda moja kwa moja raundi ya kwanza basi wawaunge mkono kwenye raundi ya pili, kwahiyo the game is just in the beginning!

Mkuu,
Lakini sahizi hii battle ni hatari sana, safari hii Mhhh. Nafikiri kilicho mboost Raila wakati ule ilikuwa Ruto
 
Hommie usimchukulie poa kiasi hicho Raila, jamaa anajua fitna za siasa na mbinu za uchaguzi. Bado ni mapema sana kwakuwa hata jubilee wenyewe wanafanya kila mbinu kuweka mambo sawa na UDF na Eagle ili wasiposhinda moja kwa moja raundi ya kwanza basi wawaunge mkono kwenye raundi ya pili, kwahiyo the game is just in the beginning!

MDau if you are fronting for CORD, then i believe such talk about peter Kenneth is exposing low self confidence within CORD and its supporters. Just kwa sababu kura ya maoni ya infotrack inawapatia kenneth na Tuju asilimia tatu pekee, haimanishi hawa watakosa kusikika kenya. Juzi naona hawa Eagle alliance walielekea homabay na walipokelewa vizuri licha kule kuwa ngome ya CORD.

kumbuka kama hakutakuwa na mshindi raundi ya kwanza, ingekuwa vema Raila kucanvass na hawa bia ya kuwahingilia na kuwaita non-starters. Lakini kwasababu tuju yuko eagle, hakika kiburi hakitamruhusu Raila kumkaribia Kenneth kwasababu Tuju yumo naye na anaonekana kizingiti kwake.

Hata ingawa Eagle alliance hawana matumaini vile vyombo vya habari vimelipwa kusema, CORD ingewashika na kuwashawishi na kufanya canvassing nawao kwasababu mudavadi ni hasidi na CORD. But petty politics ndugu yangu ndio wanaCORD wanatarajia kuingia ikulu nao "wakibarizi" katika kura ya maoni...urongo ndugu!

Kwanza hiyo picha Ab-titchaz ameweka hapo juu speak volumes, did I forget to mention...............hahhaa!
 
Back
Top Bottom