Raila:Wakati Wa "HandShake" Na Uhuru Simu Ya Kalonzo Ilikuwa Imezimwa

Kwenye siasa kucheza rafu ndio mtindo wenyewe, imekula kwake Kalonzo A.K.A Mr. Tikitimaji.
 
Kwani kuzima kwa simu ya Kalonzo kuliathiri nini kwa taifa la Kenyq?
 
Kwani kuzima kwa simu ya Kalonzo kuliathiri nini kwa taifa la Kenyq?
Kalonzo alimlaumu Raila amemgeuka .Raila katika kujitetea ndio kaja na hilo.
 
Kalonzo Keisha habari yake!
Hahaa! [emoji1] Wanachafuana bila mchezo, wakati wa kuapishwa kwa Raila Kalonzo alisema Raila aliwaacha hotelini walipokuwa kwenye kikao na vinara wenza wa NASA kisha akawaambia wazime simu zao atawapigia na nambari ya simu ya Ghana. Alafu baadaye kidogo wakasikia tayari Baba keshaapishwa! [emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…