Railway to pass through Kenya national parks

Rolandi

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2006
Posts
919
Reaction score
490
Kenya wildlife services has granted a right of way to kenya railways to develop the std gauge railway through the parks (Daily nation kenya 15 October 2014)

Ya Serengeti wanaipigia kelele!
 
Hapo wana Mazingira wa Kenya hauwezi kuwasikia wakisema kitu chochote kuhusu hilo,bali likifanyika Tanzania wanageuka kuwa shubiri kudai uharibifu wa mazingira! Ni watu wa ajabu sana.
 
Hapo wana Mazingira wa Kenya hauwezi kuwasikia wakisema kitu chochote kuhusu hilo,bali likifanyika Tanzania wanageuka kuwa shubiri kudai uharibifu wa mazingira! Ni watu wa ajabu sana.

Ajabu ni kwamba wa kwetu wanaiga makelele ya wakenya bila kufikiri. Hawaoni hidden ajenda iliyopo
 
Wakuu jaribuni kujua nature ya wanyama na mfumo wa train zetu.
Hizi ni train kama zile za reli ya kati,full zogo,angalau zingekuwa zile za umeme hapo sawa.

Lazima watalia Wakenya,Wanyama wengie watahama kwenye mbuga za jirani,na kama wakiweka hadi Masai Mara basi Serengeti itafaidika zaidi,maana ni jirani na wanyama kibao watakimbilia huku.

Hasa wale wasipenda zogo,
Kwale wale ambao mmepanda train ya kwenda kusini na kupita pori la Selous,mtakuwa mashahidi juu ya hili,advantage ya Selous ni Ukubwa wake.Railways wameiweka mbali.
 
Hapa ni vita ya kibiashara, sisi tuendelee na mipango yetu ya kujenga reli yetu kukatiza Serengeti achilia mbali kesi waliyoshinda wakenya dhidi yetu, Manyang'au hao
 
lawmaina78, Ab-Titchaz, Mekatilili njoni humu, wa-tz wameshaanza!

Huna haja ya kuniita mimi maana msimamo wangu unaeleweka kwenye hili suala. Wabongo mkitaka kujenga magorofa hadi Mikumi hainihusu. Sielewi mnachosubiri siku zote, ardhi ni yenu, nchi ni yenu, nia mnayo lakini uwezo hamna ndio maana vijisababu vingi vya uvivu.
Dunia watu wanazaana na lazima tuingilie sehemu za wanyama maana binadamu ni muhimu. Kwangu mimi reli yetu ni muhimu zaidi ya hao watalii na wanyama ambao hatuna uhakika nao siku za usoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…