cheki hata unachokiongea hukielewi
Usinishobokee sikushobokei
Pita kushoto nipite kulia .
Sitaki mazoea na cheap girls wanuka mikojo kama wewe.
😀😀😀😀😀Raimundo nilimuona maeneo ya kwa mtogole anakimbizwa na wananchi wenye hasira kali sijui aluwatendea nini jamaa ana mbio anaziovateki bodaboda kama zimesimama
😀😀😀😀😀
Najua ni uongo, lakini wacha tu nicheke ... Hahahahaaaaa teh teh
Mkuu huna habari alipiga 'tukio la kimuamala' mtu huko PM akatokomea kusikojulikana hadi leoalifanyaje kwani
sina habari mkuu,hivi kuna watu wanatumiana pesa humu?,Mkuu huna habari alipiga 'tukio la kimuamala' mtu huko PM akatokomea kusikojulikana hadi leo
ndio hivyo mkuu, sasa alikopa akakosa uaminifu wa kurudisha kwa aliyemkopa...sina habari mkuu,hivi kuna watu wanatumiana pesa humu?,
ebanaee kweli watu wanaitumia vizuri jf,hadi mikopo mnapata na mademu juu,wengine tunaishia kubishana kwenye thledi tu.ndio hivyo mkuu, sasa alikopa akakosa uaminifu wa kurudisha kwa aliyemkopa...
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] Ahahaha....Usawa unakaba mkuuebanaee kweli watu wanaitumia vizuri jf,hadi mikopo mnapata na mademu juu,wengine tunaishia kubishana kwenye thledi tu.
Asa mkuu jose nyamihela nifanyie mpango bas na mie mpango wa mkopo,dola buku tu mwanangu,ntalipa kwa installment kuanzia mwakani
sawa bana we nibanie tu,huto tuhela ni tupesa twa breakfast tu pale le junes verne paris (inatamkwa paghyy).[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] Ahahaha....Usawa unakaba mkuu
sijakubania mkuusawa bana we nibanie tu,huto tuhela ni tupesa twa breakfast tu pale le junes verne paris (inatamkwa paghyy).
mkuu sijaipataga hii,Nilijua tu razima nikukute ,,umempa uroda jamaa bure kakukimbia gesti ila inaonekana alikucheda haswa mpaka ukagombana na the superlady Cute B.
Watu wanaona mpk K nyeusi....sasa sijui ni weusi wa mkaa au mpingoebanaee kweli watu wanaitumia vizuri jf,hadi mikopo mnapata na mademu juu,wengine tunaishia kubishana kwenye thledi tu.
Asa mkuu jose nyamihela nifanyie mpango bas na mie mpango wa mkopo,dola buku tu mwanangu,ntalipa kwa installment kuanzia mwakani
Kama naniMimi nilishangaa mpk watu wa karibu sana walimponda mshikaji
Hiv na cute b walikua mademu zake woteNilijua tu razima nikukute ,,umempa uroda jamaa bure kakukimbia gesti ila inaonekana alikucheda haswa mpaka ukagombana na the superlady Cute B.
Wewe Kariakoo nzima washakuchedaShobo ulizianza mwenyewe!!
Cheapgirls PM unawafuata wa nini??
WwKama nani