Kuna nilikukuta jukwaani sijui ni mmu au huku chit chat nikakuquote mpaka nikamwambia nyagei ujue umenigombanisha na cuzoo wangu ebu niambie umemfanya niniWapi mama na pm yako umefunga[emoji15]
[emoji23][emoji23][emoji23]Kupigwa nini??
Sikuona bhana cuzooo afu na muda kidogo sijatokea jfKuna nilikukuta jukwaani sijui ni mmu au huku chit chat nikakuquote mpaka nikamwambia nyagei ujue umenigombanisha na cuzoo wangu ebu niambie umemfanya nini
Basi cuzoo inawezekana nilivyokuquote ulikua umetoka vipi lakini unaendeleajeSikuona bhana cuzooo afu na muda kidogo sijatokea jf
Salama. Nina shida na wewe na pm umefungaBasi cuzoo inawezekana nilivyokuquote ulikua umetoka vipi lakini unaendeleaje
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Tafadhali naomba umuulize kama ana chura
Nakuja cuzoo pm kwako shida gani lakini jaman nakujaSalama. Nina shida na wewe na pm umefunga
Ukuje tuNakuja cuzoo pm kwako shida gani lakini jaman nakuja
Nimeshafika cuzooUkuje tu
Hivi mupooooMimi huwa ubuyu ukijeleta nakula tuu mkuu
Ndiyo dear tutaenda wapiiiii [emoji39][emoji39]Hivi mupoooo
Nimewamiss wahenga wenzangu jamaanNdiyo dear tutaenda wapiiiii [emoji39][emoji39]
Ukinipa nyeusi?!Hivi na wewe utakuja nisema humu nikikupa ?
Hata mimiiiii[emoji8][emoji8][emoji8]Nimewamiss wahenga wenzangu jamaan
[emoji8][emoji8][emoji8]Hata mimiiiii[emoji8][emoji8][emoji8]
Mbona nimeshasemaga.Hiv na cute b walikua mademu zake wote
Sawa umeelewaMbona nimeshasemaga.
Raimundo ana mke na watoto 2 . humu jf alikuwa na KIMADA na nilimtaja.
Mimi Mume wangu ni sumbai
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wengine hata Ku quotiana kwenye nyuzi hawajawahi lakini mwee wana uchungu utadhani wanataka kuzaaUna kila sababu ya kumkumbuka, kwa ujumla kila mwanadamu ana udhaifu wake, japo tuna tabia ya kuushambulia udhaifu uliojiweka dhahiri...mimi sikuwahi kuwa na ukaribu naye so sina sababu ya kumnyooshea kidole