Raimundo popote pale ulipo

Kiwatengu alitufungisha ndoa Leo anakugeuka.
Vipi ulishamwambia kwamba Mimi na wewe tumejaliwa mtoto ..P...
Alete zawadi ya mtoto aache kelele.

Sent using Jamii Forums mobile app
We si ulikuwa unalalamika hapa kuwa umetelekezwa? Au sio wewe...na ukadai kuna mambo unataka kufanya upate mtoto mwingine upunguze machungu....ukidai kuwa wazee tunajua kulea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…