U want some? No problem.... u come without!!!Hakuna kumuonea huruma maliza zote
Haha haha.We si ulikuwa unalalamika hapa kuwa umetelekezwa? Au sio wewe...na ukadai kuna mambo unataka kufanya upate mtoto mwingine upunguze machungu....ukidai kuwa wazee tunajua kulea?
Nisingizie tuu nikafukue kaburiiiBraza huyu mrembo asubuhi aliniambia kuwa umemtelekeza, sasa siunanijua nilivyo na huruma?
si ulikubali....na ukanipa one for the road...na wewe ukawa umecheat? ukaniambia umeridhika sasa naweza kuwa naendelea kujilia?Haha haha.
Wewe ndiyo uliniambia kwamba unanipenda.. Mimi nikakuambia namwogopa Mume wangu ukasema kwanza sumbai mwenyewe anacheat kwa hiyo na Mimi nije kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
Blaza umemsingizia Mama p. Unajua sometimes anammis Shem wake Raymundo ndio maaanaWe si ulikuwa unalalamika hapa kuwa umetelekezwa? Au sio wewe...na ukadai kuna mambo unataka kufanya upate mtoto mwingine upunguze machungu....ukidai kuwa wazee tunajua kulea?
mkeo anataka na mimi nimpe damu yangu [emoji1] [emoji1] [emoji1] afu mtoto aitwe Q....Haha haya blaza uje umsalimie mtoto wetu p.....
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mshenzi sana yule kaka. We usinifanye niisake ban
Mmmmmmmmwaaaaaahhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Blaza umemsingizia Mama p. Unajua sometimes anammis Shem wake Raymundo ndio maaana
Mmmmmmmmwaaaaaahhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Blaza umemsingizia Mama p. Unajua sometimes anammis Shem wake Raymundo ndio maaana
Akuuuu. Mimi Leo sikuwepo ndiyo nakuja sasa hivisi ulikubali....na ukanipa one for the road...na wewe ukawa umecheat? ukaniambia umeridhika sasa naweza kuwa naendelea kujilia?
Ha ha ha halafu wanasemaga ukizaa na Mzee mtoto anakuwa na akili hataree.mkeo anataka na mimi nimpe damu yangu [emoji1] [emoji1] [emoji1] afu mtoto aitwe Q....
Atakuja tuuuu soon.Mmmmmmmmwaaaaaahhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ndiyo maana nakupenda sana hukubali nisingiziwe. Kweli baba p nimemiss shemeji yangu Raimundo sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu Leo anakugeuka.[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] aisee sio wewe ndio unalazimisha?!?!
Si wewe na mshana jr ndio mlibariki hii ndoa miaka kadhaa nyuma
Umzoee tuu my blaza kiwatenguHalafu Leo anakugeuka.
Kiwatengu njoo.
Nilikuambia nitamwambia Mume wangu sumbai wewe ukasema haumuogopi huyu hapa sasa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchochezi huu ha ha haaasio wewe wewe?
Nimekupenda mdada big upAcha ajipumzikie tu maana hata akifufuka bado sitafikisha GPA ya 3 mwaka wa kwanza diploma mie
Sawa Mume namzoea baba P wetuUmzoee tuu my blaza kiwatengu
Umri ukishaenda watu wanasahau sahau. Ila uwe makin Mzee mbaya huyu
Hivi kiwatengu mwaka huu hamna sindano la umis Jf???
Umejuaje?Nadhani alifungiwa na moderator, baada ya kulalamikiwa sana