Raimundo popote pale ulipo

Naomba utuwekee Evidance hapa maana wanamuandama sana wajina wangu..
Ha ha ha akija akibisha kwamba yeye Hakuwa kimada wa Ray nitaweka.
Ujue sikupenda tufike huku. Ila siku moja kwenye Uzi mmoja alisema Mimi ni wifi yani mke wa Raimundo. Anaita watu eti waje waone . akasahau kwamba mti anaoukata ndiyo alioukalia....
Leo pia sikutaka kuchangia huu Uzi kiviile , amekuja hapa ananisema kimafumbo.
Sasa kama yeye Hakuwa kimada wa Raimundo na kilichofanya wagombane ni alidanganya kwamba ATM card imesahaulika alipie lodge na misosi halafu jamaa hajamrudishia aje hapa abishe...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
maniner....ndio nini hichi!!!
 
Hahaaaa namuonaga anavyoshadadia hiyo isuee..
Ukweli usemwe vitu viwe clear kwann wamsakame mtu hana ishu nao..Wamuache muha mwenzangu..
 
Hahaaaa namuonaga anavyoshadadia hiyo isuee..
Ukweli usemwe vitu viwe clear kwann wamsakame mtu hana ishu nao..Wamuache muha mwenzangu..
Mondray . ngoja nianzie nyuma kuja mbele. Ray...
Hili halikwepi.
Halafu uzembe aliofanya kwa kuwa Raimundo alikuwa na mke hivyo walikuwa wanachati pm na email .


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…