Aliliwa akalipia gharama mwnyw?!...watu wabaya jamani
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Aliliwa akalipia gharama mwnyw?!...watu wabaya jamani
Eeeh!!! Jamaaa aliheshimMondray . ngoja nianzie nyuma kuja mbele. Ray...
Hili halikwepi.
Halafu uzembe aliofanya kwa kuwa Raimundo alikuwa na mke hivyo walikuwa wanachati pm na email .
Sent using Jamii Forums mobile app
Si alikuwa ana beep fire..kumbe hamna moto [emoji3] [emoji3] . tunazima chochoteHahaaaa rubii kaacha manyoya na vumbi tu maana siio kwa speed hizoo alizokimbia..
Siyo kwa povu lile alilokuwa anamwaga.Aliliwa akalipia gharama mwnyw?!...watu wabaya jamani
Kweli jamaa aliheshimu ndoa yake na alimchana kwamba ana mke kabisa.Eeeh!!! Jamaaa aliheshim
Ndoa yake akijua
Huu n mchepuko wa kupita tu
Mchepuko kweli hatuupeag nafas
Ukiwa na ndoa ya heshima
[Color= yellow]Triple A[/color]
Sikuona hiyo sabuni
Yah na kweli afuatilie tu malipo ya noah zetu maana sio kwa kufuatilia hukoKamanda naona unafuatilia Hii mada kwa ukaribu sanaa hongera utapangwa kufuatilia Malipo ya Noah zetuu
Kwani ilikuwaje?[emoji3][emoji3][emoji3]
Naona amekupa like huyo rubii ila kujitokeza kana ogopa.Watu mmeliamsha dude mpk mmemkimbiza rubii kapambana lkn imeshindikana
Yap hyo n kwa mwanaumeKweli jamaa aliheshimu ndoa yake na alimchana kwamba ana mke kabisa.
Rubii kwa Leo nimeishia hapa sitaongea chochote tena ila tabia ya kunisema kimafumbo ife..
Uzuri siku zote naanzaga kwa kukupa onyo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Heheheheh...mwacheni mwanadiplomasiaNaona amekupa like huyo rubii ila kujitokeza kana ogopa.
Kuhusu nini jamaan tena lothritoKwani ilikuwaje?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Raimundo nilimuona maeneo ya kwa mtogole anakimbizwa na wananchi wenye hasira kali sijui aluwatendea nini jamaa ana mbio anaziovateki bodaboda kama zimesimama
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Spare my ribs Bro daaah eti ana overtake bodaboda kama zimesimama vile.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
πππBodaboda walikuwa wanauliza ni kitu gani kinatupita hicho kina kasi hivo nikawaambia raimundo wakauliza hiyo raimundo ni toleo jipya la pikipiki nikawaambia ni raimundo wa jf
Hahahahhahaha wewe sikugawi aiseeee utabaki na mimi uchangamshe bandama langu.[emoji23] [emoji23] [emoji23]Bodaboda walikuwa wanauliza ni kitu gani kinatupita hicho kina kasi hivo nikawaambia raimundo wakauliza hiyo raimundo ni toleo jipya la pikipiki nikawaambia ni raimundo wa jf
Hahahaj[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mbavu zangu mie we mkaka taratibu wengine mbavu zetu zimeegeshwa tuBodaboda walikuwa wanauliza ni kitu gani kinatupita hicho kina kasi hivo nikawaambia raimundo wakauliza hiyo raimundo ni toleo jipya la pikipiki nikawaambia ni raimundo wa jf