Mimi na wewe nani punguani?
Ungekuwa mzima kichwani ungerudia madarasa mara nyingi hivyo?
Mbona mpaka leo bado upo level hiyo hiyo ya diploma tangu 2013?
GPA ya 3 tu imekushinda kufikisha
Ndio maana Raimundo alikubandua bila kukulipa .
Unauza K ili usome ila wahuni wanakukopa halafu hawakulipi
Eti unakuja PM unanililia shida ,mimi babako ,maza fanta.
Kwanza K yenyewe nyeusi kama masizi ya sufuria.
haya kamfufue babako kaburini aje akulipie ada.
Please please! This is real bad.haya kamfufue babako kaburini aje akulipie ada.
Acha ajipumzikie tu maana hata akifufuka bado sitafikisha GPA ya 3 mwaka wa kwanza diploma mie
Na utaendelea hapo hapo hutofanikiwa asilani abadani labda uache kuchanganya mapenzi na shule.Acha ajipumzikie tu maana hata akifufuka bado sitafikisha GPA ya 3 mwaka wa kwanza diploma mie
wewe hukutakiwa kuwa mwaka wa kwanza ila kwa kuwa ni kiazi uliyeshindikana ndo mana hupigi hatua za kielimuAcha ajipumzikie tu maana hata akifufuka bado sitafikisha GPA ya 3 mwaka wa kwanza diploma mie
Na utaendelea hapo hapo hutofanikiwa asilani abadani labda uache kuchanganya mapenzi na shule.
wewe hukutakiwa kuwa mwaka wa kwanza ila kwa kuwa ni kiazi uliyeshindikana ndo mana hupigi hatua za kielimu
acha mapenzi acha kuuza mwili piga kitabu .
wewe umehitimu kidato cha nne 2013 ukaona advance hupawezi ukaona u shift uende diplo ,diplo napo unapodoa .Shule ipi tena na nilishindwa tangu 2013 ??
Nikijiuza nakopwa ada sina
Sap za kutosha GPA haifiki 3 na baba yangu marehemu??
Please please! This is real bad.
wewe umehitimu kidato cha nne 2013 ukaona advance hupawezi ukaona u shift uende diplo ,diplo napo unapodoa .
Ushauri bora uache shule ukajifunze hata kushona nguo ,sio lazima wote tusome .as long as umefika form 4 na ww ni ke hicho ni kigezo tosha utaweza kuolewa.
Kampani mtu akija pm tu storu mbili tatu unamlilia shida .mara ooh ninunulie iPhone 7 mara ooh nikopeshe pesa nimekula adaAcha nimpe kampani mtoto wa kijana wa MUHAS uyu inaelekea amejawa na upweke achelewi kuanzisha thread na kujijibu mwenyewe
Kampani mtu akija pm tu storu mbili tatu unamlilia shida .mara ooh ninunulie iPhone 7 mara ooh nikopeshe pesa nimekula ada
Maza fanta
Mkuu ulikuwa unawekwa kwenye timing ya kupigwa kitonga,baada ya ushauri kukuingia assist ilikuwa ndio inayofuata!Ni ngum kuelewa lkn kwa alie wahi kushauliwa kitu na hiyo kaka kwel yuko smart kichwani...achilia mbali mapungufu yake ya kibinadam
Umejibu kwa Busara. Hongera na pole pia.Acha ajipumzikie tu maana hata akifufuka bado sitafikisha GPA ya 3 mwaka wa kwanza diploma mie
Umejibu kwa Busara. Hongera na pole pia.
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Mambo madogo tu haya mbwa ukishamjua jina hana madhara kabisa.