Rais aagiza mechi iende penati dakika ya 63 baada ya 'kuboreka'

Rais aagiza mechi iende penati dakika ya 63 baada ya 'kuboreka'

Makini

Senior Member
Joined
Dec 23, 2014
Posts
154
Reaction score
59
Rais wa Mauritania, Ould Abdel Aziz ameagiza mechi ya fainali ya michuano ya [FONT=open_sansregular]Super Cup ya nchini humo kuingia katika penati ikiwa katika dakika ya 63.

Inasemekana rais huyo alitoa kali hiyo ya mwaka katikati ya mechi akihofia mechi kuendelea mpaka muda wa ziada.

Hata hivyo, shirikisho la soka la Mauritani limekana hayo na kusema kuwa maamuzi ya kuelekeza mechi katika penati yalifanywa kwa kushirikisha makocha wa timu zote mbili.

[/FONT]
President orders match to go to penalties after gettin bored midway

[FONT=open_sansregular]The football world was left stunned last weekend after the President ordered Mauritania Super Cup final to go to penalties in the 63rd minutes because he was bored with the proceedings.
[/FONT]

[FONT=open_sansregular]According to Metro.co.uk, President Ould Abdel Aziz is said to have called for penalty shootouts 18 minutes after the restart with the competing teams FC Tevragh-Zeina and ACS Ksar tied at 1-1.

President Aziz reportedly grew impatient with the tempo of the match and was wary of the match going on into extra times. Tevragh-Zeian won the match.
[/FONT]

[FONT=open_sansregular]The decision has elicited wide condemnation with football fans accusing the president of flouting match rules.
[/FONT]

[FONT=open_sansregular]The Mauritania football federation has however denied the claims saying the reports circulating in the media are fabricated, theGuardian has reported.
[/FONT]

[FONT=open_sansregular]In a statement, the federation president Ahmed Ould Abderrahmane said: 'I deny in the strongest terms the intervention of the President of the Republic. The decision was made due to organisational issues in accordance with the president and the coaches of the two teams.'
[/FONT]

[FONT=open_sansregular]Ksar fans have filed an appealed with the federation seeking a ruling on the matter.[/FONT]

Chanzo: Citizen TV Kenya
 
Rais wa Mauritania, Ould Abdel Aziz ameagiza mechi ya fainali ya michuano ya [FONT=open_sansregular]Super Cup ya nchini humo kuingia katika penati ikiwa katika dakika ya 63.

Inasemekana rais huyo alitoa kali hiyo ya mwaka katikati ya mechi akihofia mechi kuendelea mpaka muda wa ziada.

Hata hivyo, shirikisho la soka la Mauritani limekana hayo na kusema kuwa maamuzi ya kuelekeza mechi katika penati yalifanywa kwa kushirikisha makocha wa timu zote mbili.

[/FONT]


Chanzo: Citizen TV Kenya

Nitafurahi kama Magufuli ataagiza Kibadeni na Mkwasa wachapwe viboko 2 kila mmoja huku wachezaji wakichapwa viboko 6 kila mmoja ili wakienda kwenye mashindano yajayo wawe makini.
 
Hapana walitakiwa kufungwa miezi 6 jela wakati wakipelekwa gerezani wanatandikwa viboko 5 siku wakitolewa wanatandikwa viboko vingine 5.

Nitafurahi kama Magufuli ataagiza Kibadeni na Mkwasa wachapwe viboko 2 kila mmoja huku wachezaji wakichapwa viboko 6 kila mmoja ili wakienda kwenye mashindano yajayo wawe makini.
 
Nitafurahi kama Magufuli ataagiza Kibadeni na Mkwasa wachapwe viboko 2 kila mmoja huku wachezaji wakichapwa viboko 6 kila mmoja ili wakienda kwenye mashindano yajayo wawe makini.
Mkuu hebu nipashe...je kilstar imefikia wapi huko adiss?
 
Nilikuwa na majirani zangu kutoka Mauritania, huwezi kuamini wazee wazima wanavuta ashish kama hawana akili nzuri. kwa hiyo hapo inawezekana Mr.President naye alishapiga ile mambo akaona mpira gani huu miyeyusho tu, pigeni penalty twenzetu nyumbani.
 
Hiyo ndio Watz wanafurahia yaani maamuzi ya nchi kuendeshwa na 'mtu' badala ya sheria!

mtaisoma namba! Sheria haisemi kila kitu, mambo mengine yanaamuliwa kwa kuzingatia hali ilyopo (status quo).

Haingii akilini timu zinacheza madudu halafu rais anachekelea.
 
taifa stars ifutwe kwanza what a weird name. tutafute jina jingine stars kila nchi inazo lets go for something that identifies us.
 
Nitafurahi kama Magufuli ataagiza Kibadeni na Mkwasa wachapwe viboko 2 kila mmoja huku wachezaji wakichapwa viboko 6 kila mmoja ili wakienda kwenye mashindano yajayo wawe makini.

Hahaha, sidhani kama atashindwa mkuu. Awe tu anapita huku aone ombi lako.
 
Hiyo ndio Watz wanafurahia yaani maamuzi ya nchi kuendeshwa na 'mtu' badala ya sheria!
Tumejaribu wenye busara, wasomi wakubwa na wajuao utawala wa sheria, wakatuangusha. Twende na Magufuli, the only hope we are left with
 
Back
Top Bottom