Rais Abbas asema ataenda Gaza hata kama atakufa, amesema Gaza yote ni Mali ya Wapalestina

Rais Abbas asema ataenda Gaza hata kama atakufa, amesema Gaza yote ni Mali ya Wapalestina

Kwani Israel anaitaka Gaza? Yeye analinda usalama wake, yuko Gazaclupambana na Hamas, awe makini akienda Gaza kichwa kichwa hamas watamfyatulia risasi ili waseme ni Israel
Kabisa kwanza Hamas wenyewe hawampendi na kumuua kutafuta huruma ni suala jepesi sana kwao mwache ajichanganye.
 
Anajua yeye ni kibaraka wetu,hawezi kuuliwa
 
Back
Top Bottom