Uchaguzi 2020 Rais ajaye ni Lissu Mungu anajua hivyo hata Shetani anajua hivyo

Uchaguzi 2020 Rais ajaye ni Lissu Mungu anajua hivyo hata Shetani anajua hivyo

Lituye

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
1,864
Reaction score
5,695
Mwl. J. K. K. Nyerere ktk hotuba zake aliwahi kusema kuwa "Mtu akijua kuwa una Akili akakwambia jambo la kipumbavu ukakubali kufanya atakudharau" Pia Nyerere alisema Watanzania Mkiwa waoga mtatawaliwa na Rais Dikteta.

Tundu Lissu alikataa wito wa Polisi kumtaka aende Moshi mwingene akaagiza aripoti Daresalaam pia akakataa wito wa Tume huru ya uchaguzi ya ccm kwa kuwa alijua miito hiyo yote ni ya kipumbavu yenye lengo la kutisha watu na kubaka Demokrasia. Tundu Lissu aligoma pia msafara wake kuzuiwa na Mapolisi wenye Mabunduki akielekea Kibaha na hatimaye Mapolisi wakafyata mkia na kutimkia kusiko julikana.

Kimsingi Tundu Lissu amesha Limeng'enyua jiwe meng'enyuu!! Yaani ametumia wiki nne tuu, bwana Sugu anayo hiari kulisugua au kulikanyaga hilo jiwe.

Rais ajaye ni Lissu Mungu anajua hivyo hata Shetani anajua hivyo ndio maana shetani anahangaika kuzuia mpango wa Mungu lakini hataweza.

Lissu atosha.
Maendeleo hayana vyamaa.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Rais wa chumbani kwa beberu wake Amsterdam
 
Hali ya Meko ni tia maji tia maji kudadadeki!

Afungashe kabisa kila kilicho chake arudi kule alikojenga uwanja wa ndege usio na faida kwa watanzania akalime viazi vitamu.
 
Lissu ndo Rais ajaye, atashinda vip? SUbirini muone Oct 28 na baada ya hapo.. CCM haiwez kuongoza maisha
 
Haki ya nani kuna nyuzi ! Unasoma unaishia kucheka tu! Huu uzo baada ya 28 oct uurudie tena!
 
Rais ajaye ni Lisu. Magufuli anajua hivyo na hata Ndugai anajua hivyo.
Natamani kujua Job Ndugai atajificha wapi Tundu Lissu atakapomaliza kula kiapo chake....

Duuh, ama kweli dunia hadaa, ulimwengu shujaa...!!
 
Hebu subiri uachaguzi uishe na uishe salama, ndoto unayomuotea lissu ni kinyume chake, utakuja kumuonea huruma , ngoja kidogo
 
Ulikaa wapi kikao na Mungu na shetani wakakuhakikishia kuwa wanajua Lissu atakuwa rais?
 
Back
Top Bottom