Uchaguzi 2020 Rais ajaye ni Lissu Mungu anajua hivyo hata Shetani anajua hivyo

Uchaguzi 2020 Rais ajaye ni Lissu Mungu anajua hivyo hata Shetani anajua hivyo

Mwl. J. K. K. Nyerere ktk hotuba zake aliwahi kusema kuwa "Mtu akijua kuwa una Akili akakwambia jambo la kipumbavu ukakubali kufanya atakudharau" Pia Nyerere alisema Watanzania Mkiwa waoga mtatawaliwa na Rais Dikteta.

Tundu Lissu alikataa wito wa Polisi kumtaka aende Moshi mwingene akaagiza aripoti Daresalaam pia akakataa wito wa Tume huru ya uchaguzi ya ccm kwa kuwa alijua miito hiyo yote ni ya kipumbavu yenye lengo la kutisha watu na kubaka Demokrasia. Tundu Lissu aligoma pia msafara wake kuzuiwa na Mapolisi wenye Mabunduki akielekea Kibaha na hatimaye Mapolisi wakafyata mkia na kutimkia kusiko julikana.

Kimsingi Tundu Lissu amesha Limeng'enyua jiwe meng'enyuu!! Yaani ametumia wiki nne tuu, bwana Sugu anayo hiari kulisugua au kulikanyaga hilo jiwe.

Rais ajaye ni Lissu Mungu anajua hivyo hata Shetani anajua hivyo ndio maana shetani anahangaika kuzuia mpango wa Mungu lakini hataweza.

Lissu atosha.
Maendeleo hayana vyamaa.
Iyo ndiyo professional yenu, majungu
old school 1947
 
[emoji23][emoji23][emoji23] haki ya nani nimecheka sana aisee, BAVICHA Mungu anawaona
 
Huyu sijui ni Mungu gani mara zote mipango yake inapanguliwa na Ccm! Inabidi sasa uchaguzi ujao huyo mgombea awe ni mpango wa mizimu ili tujaribu. Maana ile 2015 ilikuwa mpango wa shetani ila ilishindilana.
 
Mwl. J. K. K. Nyerere ktk hotuba zake aliwahi kusema kuwa "Mtu akijua kuwa una Akili akakwambia jambo la kipumbavu ukakubali kufanya atakudharau" Pia Nyerere alisema Watanzania Mkiwa waoga mtatawaliwa na Rais Dikteta.

Tundu Lissu alikataa wito wa Polisi kumtaka aende Moshi mwingene akaagiza aripoti Daresalaam pia akakataa wito wa Tume huru ya uchaguzi ya ccm kwa kuwa alijua miito hiyo yote ni ya kipumbavu yenye lengo la kutisha watu na kubaka Demokrasia. Tundu Lissu aligoma pia msafara wake kuzuiwa na Mapolisi wenye Mabunduki akielekea Kibaha na hatimaye Mapolisi wakafyata mkia na kutimkia kusiko julikana.

Kimsingi Tundu Lissu amesha Limeng'enyua jiwe meng'enyuu!! Yaani ametumia wiki nne tuu, bwana Sugu anayo hiari kulisugua au kulikanyaga hilo jiwe.

Rais ajaye ni Lissu Mungu anajua hivyo hata Shetani anajua hivyo ndio maana shetani anahangaika kuzuia mpango wa Mungu lakini hataweza.

Lissu atosha.
Maendeleo hayana vyamaa.
Mkuu nyie watu ni wasahaulifu sana,mwaka 2015 August wakati Mzee Lowassa akiwa mgombea urais wa UKAWA,Wakati amekabidhiwa rasmi fomu za kuomba urais alisema hivi''KAMA CCM HAWATAONDOKA MWAKA HUU,BASI UPINZANI ITAWACHUKUWA MIAKA HAMSINI KUJA KUPATA URAIS" mwisho wa kunukuu.
 
Mwl. J. K. K. Nyerere ktk hotuba zake aliwahi kusema kuwa "Mtu akijua kuwa una Akili akakwambia jambo la kipumbavu ukakubali kufanya atakudharau" Pia Nyerere alisema Watanzania Mkiwa waoga mtatawaliwa na Rais Dikteta.

Tundu Lissu alikataa wito wa Polisi kumtaka aende Moshi mwingene akaagiza aripoti Daresalaam pia akakataa wito wa Tume huru ya uchaguzi ya ccm kwa kuwa alijua miito hiyo yote ni ya kipumbavu yenye lengo la kutisha watu na kubaka Demokrasia. Tundu Lissu aligoma pia msafara wake kuzuiwa na Mapolisi wenye Mabunduki akielekea Kibaha na hatimaye Mapolisi wakafyata mkia na kutimkia kusiko julikana.

Kimsingi Tundu Lissu amesha Limeng'enyua jiwe meng'enyuu!! Yaani ametumia wiki nne tuu, bwana Sugu anayo hiari kulisugua au kulikanyaga hilo jiwe.

Rais ajaye ni Lissu Mungu anajua hivyo hata Shetani anajua hivyo ndio maana shetani anahangaika kuzuia mpango wa Mungu lakini hataweza.

Lissu atosha.
Maendeleo hayana vyamaa.
Magufuri na Hussein Mwinyi wameamukukaria viti vya urais vyenye damu za watanzania .
IMG_20201031_152623.jpg
Screenshot_20201029-161902.png
IMG_20201030_150759.jpg
IMG_20201027_223505.jpg
IMG_20201027_223631.jpg
 
Back
Top Bottom