Rais ajiuzulu, huduma ya kununua LUKU imekwama tena leo Juni 20, 2021

Rais mbona ni wa mbali sana? Kuna bosi wa Tanesco, na wengine
 
TANZANIA bado tupo 2G, wenzetu wapo 5G, angalia hata malipo ya Serikali kila siku utaambiwa hakuna mtandao, mara sijui control number haitoki, yaani JIWE alitukimbiza pahakla ambapo miundombinu yetu bado kabisa.
angalia mambo ya NIDA kutoa ID wameshindwa, eti mtu anapewa namba kwenye kikaratasi, hii nchi kwakweli daa.
 
Bila kumfukuza kazi Kalemani haitaweza kuiweka Tanesco sawa
 
funga saluni uza machungwa hayatumii umeme
Umekaa kwa shemeji yako unajamba na kula bure, unafikiri maisha ni mtelezo?

Unajua amekosa faida kiasi gani kwa siku ya leo? Hiyo familia yake utailisha wewe?

Ni saluni ngapi zimefungwa nchi nzima? Mashine za kusaga nafaka, viwanda, nk

Huko kote pesa zinapotea kizembe tu kwa sababu ya Luku kugoma.

Halafu baadae muanze kulia lia mnataka kodi? Kodi itoke wapi?

Jinga we! Na uhame hapo kwa shemeji yako!
 
Hata kwenye BIMA ya afya utasikia system inasumbua hapo utasubilia dawa mpaka ujute!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 

 
Huna bajeti umeme wa buku buku kila siku utaendelea kulalamika hadi yesu atarudi. Weka umeme wa kutosha default zipo siku zote. Hata Tanesco wakirekebisha bado kesho utakuja kulalamika tu.
Bajeti yake ya Luku wewe haikuhusu.

Hata akinunua Luku ya mia, sio hoja hapa.

Umeme unatakiwa kuwa wa uhakika masaa 24.
 
Huna Jenereta?
Lazima uwe na Plan B
Jenereta eeh?

Kumbe nyie majizi mmeharibu mifumo ya Luku ili kusudi muuze majenereta yenu?

Mkiambiwa huyo mama yenu ni dhaifu mnabisha!

Mpaka majizi yameanza kujitapa bila hofu.
 
Jamani ongezeni kelele tu hadi aachie kiti, maana wengi sana Bi Mkubwa hata hawaelewi anaendaaaaa au anarudi!??? Hata ikitokea hitilafu ya umeme au maji mwako, unganisheni doti tupate ushahidi wa kutosha, sawa!???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…