ni faults siyo default kiongozišHuna bajeti umeme wa buku buku kila siku utaendelea kulalamika hadi yesu atarudi. Weka umeme wa kutosha default zipo siku zote. Hata Tanesco wakirekebisha bado kesho utakuja kulalamika tu.
TANZANIA bado tupo 2G, wenzetu wapo 5G, angalia hata malipo ya Serikali kila siku utaambiwa hakuna mtandao, mara sijui control number haitoki, yaani JIWE alitukimbiza pahakla ambapo miundombinu yetu bado kabisa.Kwakweli sijawahi kupata hasara katika biashara zangu kama hizi ninazopata tangu awamu hii iingie madarakani!
Leo mimefungua saluni kama kawaida siku ya jumapili wateja ni wengi.Haraka nikasema ninunue umeme niwahudumie lakini nimejaribu zaidi ya mara 10 imeshindikana!
Kwakweli pamoja na kuwa nilikuwa na mpiga vita Magufuli lakini hali hii sijawahi kuona! Kwakweli kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa! Kwa hali hii ni wazi kwamba Rais ameshindwa kazi na ameonyesha udhaifu kwa kushindwa kuwachukulia hatua wahusika! Akiwa kama kiongozi mkuu wa nchi jambo hili halikupaswa kujirudia tena kwa mara ya pili na hii inaonyesha alishindwa kuchukua hatua hapo awali na sasa ni vyema akajiuzulu tupate kiongozi mwingine!
Mbaya zaidi tunaoathirika ni sisi raia wanyonge.Kwa hali hii serikali imeshindwa kazi na haina uwezo wa kusimamia kazi zake hivyo tunaomba iondoke!!
Umekaa kwa shemeji yako unajamba na kula bure, unafikiri maisha ni mtelezo?funga saluni uza machungwa hayatumii umeme
Hata kwenye BIMA ya afya utasikia system inasumbua hapo utasubilia dawa mpaka ujute!TANZANIA bado tupo 2G, wenzetu wapo 5G, angalia hata malipo ya Serikali kila siku utaambiwa hakuna mtandao, mara sijui control number haitoki, yaani JIWE alitukimbiza pahakla ambapo miundombinu yetu bado kabisa.
angalia mambo ya NIDA kutoa ID wameshindwa, eti mtu anapewa namba kwenye kikaratasi, hii nchi kwakweli daa.
Kwakweli sijawahi kupata hasara katika biashara zangu kama hizi ninazopata tangu awamu hii iingie madarakani!
Leo mimefungua saluni kama kawaida siku ya jumapili wateja ni wengi.Haraka nikasema ninunue umeme niwahudumie lakini nimejaribu zaidi ya mara 10 imeshindikana!
Kwakweli pamoja na kuwa nilikuwa na mpiga vita Magufuli lakini hali hii sijawahi kuona! Kwakweli kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa! Kwa hali hii ni wazi kwamba Rais ameshindwa kazi na ameonyesha udhaifu kwa kushindwa kuwachukulia hatua wahusika! Akiwa kama kiongozi mkuu wa nchi jambo hili halikupaswa kujirudia tena kwa mara ya pili na hii inaonyesha alishindwa kuchukua hatua hapo awali na sasa ni vyema akajiuzulu tupate kiongozi mwingine!
Mbaya zaidi tunaoathirika ni sisi raia wanyonge.Kwa hali hii serikali imeshindwa kazi na haina uwezo wa kusimamia kazi zake hivyo tunaomba iondoke!!
Bajeti yake ya Luku wewe haikuhusu.Huna bajeti umeme wa buku buku kila siku utaendelea kulalamika hadi yesu atarudi. Weka umeme wa kutosha default zipo siku zote. Hata Tanesco wakirekebisha bado kesho utakuja kulalamika tu.
Jenereta eeh?Huna Jenereta?
Lazima uwe na Plan B