Rais akikusifia jukwaani kama mteule wake jitafakari

Rais akikusifia jukwaani kama mteule wake jitafakari

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kwa namna Mhe. Rais anavyowatumbua wale aliowasifia siku chache tu baada ya kuwasifia natoa rai wa wateule wa Mhe. Rais kijitafakari.

Tarehe 4/4/2024 wakati anaapisha viongozi wapya atamsifia mmoja baada ya mwingine; niwaombe mzitafakari hizo sifa. Atasema amewapeleka kimkakati ila jitafakarini nyendo zenu.

Mama hapendi kudhalilisha watoto wake adharani, anawachapa kwa siri sana. Jitahidini sana kufanya kazi kwa utashi wenu siyo kwa kujipendekeza maana mama hapendi unafiki.

Sikiliza alivyomsifia Makonda na leo angalia alichokifanya kwenye mkeka.

Jitafakarini
 
Dah! Yaani unatoka kuwa Katibu mwenezi wa chama mwenye mbwembwe na mikwara mingi kwa mawaziri na watendaji wengine wa serikali! Mpaka kuwa Mkuu wa Mkoa mwenye mamlaka ya kawaida kabisa!! Na wale mawaziri uliowatisha na kuwakoromea wanakuwa juu yako eti!!

Aisee hii ni fedheha kubwa mpaka basi.
 
Mama hawezi mtupa Makonda sababu mwenyewe alisema katika watu waliokuwa wanamkubali mama basi wa mwanzo alikuwa Makonda.

Makonda ana mabaya yake lakini kwenye usimamizi apewe sifa yake
Sawa ila alianza kuleta stori za Mwendazake kwenye siasa za Mama.

Mpaka nikamshangaa huyu anatumikia aliye hai au mfu?

Kiufupi siasa za amsha amsha anaziwesa ila strategy za kipumbavu na kutojitambua.

Hii ndio shida ya watu wenye kutumia hisia badala ya akili.
 
Kwa namna Mhe. Rais anavyowatumbua wale aliowasifia siku chache tu baada ya kuwasifia natoa rai wa wateule wa Mhe. Rais kijitafakari.

Tarehe 4/4/2024 wakati anaapisha viongozi wapya atamsifia mmoja baada ya mwingine; niwaombe mzitafakari hizo sifa. Atasema amewapeleka kimkakati ila jitafakarini nyendo zenu.

Mama hapendi kudhalilisha watoto wake adharani, anawachapa kwa siri sana. Jitahidini sana kufanya kazi kwa utashi wenu siyo kwa kujipendekeza maana mama hapendi unafiki.

Sikiliza alivyomsifia Makonda na leo angalia alichokifanya kwenye mkeka.

Jitafakarini
Ukimtoa makonda ni nani mwingine?Maana kamsifia sana aweso na bado yupo, kamsifia sana jerry silaa na bado yupo..
 
Kwa namna Mhe. Rais anavyowatumbua wale aliowasifia siku chache tu baada ya kuwasifia natoa rai wa wateule wa Mhe. Rais kijitafakari.

Tarehe 4/4/2024 wakati anaapisha viongozi wapya atamsifia mmoja baada ya mwingine; niwaombe mzitafakari hizo sifa. Atasema amewapeleka kimkakati ila jitafakarini nyendo zenu.

Mama hapendi kudhalilisha watoto wake adharani, anawachapa kwa siri sana. Jitahidini sana kufanya kazi kwa utashi wenu siyo kwa kujipendekeza maana mama hapendi unafiki.

Sikiliza alivyomsifia Makonda na leo angalia alichokifanya kwenye mkeka.

Jitafakarini
Serious?
 
Dah! Yaani unatoka kuwa Katibu mwenezi wa chama mwenye mbwembwe na mikwara mingi kwa mawaziri na watendaji wengine wa serikali! Mpaka kuwa Mkuu wa Mkoa mwenye mamlaka ya kawaida kabisa!! Na wale mawaziri uliowatisha na kuwakoromea wanakuwa juu yako eti!!

Aisee hii ni fedheha kubwa mpaka basi.
Katibu mwenezi ni km mpiga debe tu, km katibu mkuu amekuwa RC unashangaa nini.
 
Sawa ila alianza kuleta stori za Mwendazake kwenye siasa za Mama.

Mpaka nikamshangaa huyu anatumikia aliye hai au mfu?

Kiufupi siasa za amsha amsha anaziwesa ila strategy za kipumbavu na kutojitambua.

Hii ndio shida ya watu wenye kutumia hisia badala ya akili.
Makonda ni akili ndogo, mkabila, mshamba, mbinafsi, hajui mipaka ya wajibu wake. Hamtambui yeyote zaidi ya Rais wa nchi.
 
Sawa ila alianza kuleta stori za Mwendazake kwenye siasa za Mama.

Mpaka nikamshangaa huyu anatumikia aliye hai au mfu?

Kiufupi siasa za amsha amsha anaziwesa ila strategy za kipumbavu na kutojitambua.

Hii ndio shida ya watu wenye kutumia hisia badala ya akili.
Inahitajika kuwepo na uzalendo wa nchi ili nchi iweze kuwa na vijana waliofundwa kiuongozi.

Tatizo viongozi wapo kwa kuchagua chawa ili wawasifu wao na kutumia mfumo wa ulinzi ili yeye kiongozi aogopwe.
 
Mama hawezi mtupa Makonda sababu mwenyewe alisema katika watu waliokuwa wanamkubali mama basi wa mwanzo alikuwa Makonda.

Makonda ana mabaya yake lakini kwenye usimamizi apewe sifa yake

Mabaya yake yamepindukia kiasi cha kufunika kabisa machache mazuri yake.

Uuaji ni uovu wa kiwango cha juu kabisa ambao hauwezi kufunikwa na uzuri wowote ule. He is a beast.
 
Sawa ila alianza kuleta stori za Mwendazake kwenye siasa za Mama.

Mpaka nikamshangaa huyu anatumikia aliye hai au mfu?

Kiufupi siasa za amsha amsha anaziwesa ila strategy za kipumbavu na kutojitambua.

Hii ndio shida ya watu wenye kutumia hisia badala ya akili.

Marehemu mwenyewe kabla ya kufariki alikuwa tayari amekwishamtosabaada ya kugundua alivyokuwa akimhadaa ili kujinufaisha. Alilitumia sana jina la Rais ili kujitajirisha na kuwapora watu pesa zao. Jambo hilo lilimkera sana Hayati Magufuli, kiasi cha kuamua kuachana naye.
 
Back
Top Bottom