Rais akiri yapo mashirika yalikuwa yanakopa fedha ili watoe gawio kwa serikali

Rais akiri yapo mashirika yalikuwa yanakopa fedha ili watoe gawio kwa serikali

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Nchi hii in maajabu sana; tunadanganywa sana. Kama wapo wakurugenzi walikuwa wanakopa kudeclare gawio kwa serikali tena wakiwasilisha hizo taarifa kwa Mhe. Rais unajiuliza hadi udanganyifu huu ubarikiwe nani na kufanyika mbele ya camera wahusika walikuwa wananufaikaje? Je, hayo madeni nani alikuwa anatakiwa kuyalipa?

Kila sehemu udanganyifu udanganyifu na bado kila tukianza kufanya jambo tunamwalika Mungu; haiwezekani Mungu akawa ametuchoka kwa jinsi tunavyotumia jina lake vibaya?
 
Nchi hii in maajabu sana; tunadanganywa sana. Kama wapo wakurugenzi walikuwa wanakopa kudeclare gawio kwa serikali tena wakiwasilisha hizo taarifa kwa Mhe. Rais unajiuliza hadi udanganyifu huu ubarikiwe nani na kufanyika mbele ya camera wahusika walikuwa wananufaikaje? Je, hayo madeni nani alikuwa anatakiwa kuyalipa?

Kila sehemu udanganyifu udanganyifu na bado kila tukianza kufanya jambo tunamwalika Mungu; haiwezekani Mungu akawa ametuchoka kwa jinsi tunavyotumia jina lake vibaya?
Marehemu naye alikuwa anatuchezea karata tatu,ni sawa na kupiga punyeto tu
 
Nchi hii in maajabu sana; tunadanganywa sana. Kama wapo wakurugenzi walikuwa wanakopa kudeclare gawio kwa serikali tena wakiwasilisha hizo taarifa kwa Mhe. Rais unajiuliza hadi udanganyifu huu ubarikiwe nani na kufanyika mbele ya camera wahusika walikuwa wananufaikaje? Je, hayo madeni nani alikuwa anatakiwa kuyalipa?

Kila sehemu udanganyifu udanganyifu na bado kila tukianza kufanya jambo tunamwalika Mungu; haiwezekani Mungu akawa ametuchoka kwa jinsi tunavyotumia jina lake vibaya?
Si ilikuwa awamu ya kishindo?
 
Back
Top Bottom