Rais alitangaza tarehe 7, Desemba kwamba ataifumua serikali, mpaka leo kimya

Rais alitangaza tarehe 7, Desemba kwamba ataifumua serikali, mpaka leo kimya

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Ni karibu miezi mitatu sasa toka Rais atoe like tangazo, je hii haionyeshi vacillation, kwamba Rais anashindwa kufanya maamuzi,au anashindwa kufanya maamuzi magumu?

Historia ya Cabinet reshuffle Tanzania haijaonyesha bado kwamba kufanya Cabinet reshuffle ni jambo gumu.
Kwa hiyo rai yangu mimi ni kwamba Rais akamilishe mabadiliko ambayo aliyaanza, kama alivyosema,na Nchi itazame mbele.

Please note, sijasema amtoe yule pale,amweke huyu,au ampumzishe huyu au vipi. Naongea tu kuhusu culmination of the task.
 
Ni karibu miezi mitatu sasa toka Rais atoe like tangazo,je hii haionyeshi vacillation,kwamba Rais anashindwa kufanya maamuzi,au anashindwa kufanya maamuzi magumu...
Tusipende Shari za wengine
 
Wote ni walewale labda asajili kutoka ulaya
Katiba mpya iruhusu Raisi kuteua Waziri mkuu, Mwaziri, makatibu wakuu mtu yoyote kusiwepo na vikwazo vya Ya Ubunge ili kuteua waziri.

Rais anatakiwa apewe uwanja mpana wa kumteua Raia yoyote awe waziri mkuu na waziri na naibu pasipo kuwa wabunge, hii itasaidia kuwabana Wanachama wa CCM wanao tafuta ubunge kwa pesa ili wawe mawaziri.
 
Sijui mwenzetu labda alikudokeza aanifumuaje? Maana ni kama una mategemeo flani ya ufumuzi?
 
Katiba mpya iruhusu Raisi kuteua Waziri mkuu, Mwaziri, makatibu wakuu mtu yoyote kusiwepo na vikwazo vya Ya Ubunge ili kuteua waziri, Rais anatakiwa apewe uwanja mpana wa kumteua Raia yoyote awe waziri mkuu na waziri na naibu pasipo kuwa wabunge, hii itasaidia kuwabana Wanachama wa CCM wanao tafuta ubunge kwa pesa ili wawe mawaziri.
Tatizo baada ya Nyerere hatukuwahi kupata rais mwenye maono. Wengi waliofuata walikuwa na malengo yao binafsi na si ya nchi. Wakipewa nafasi ya kuteua nje ya bunge usishangae kukuta balaza la mawaziri likitoka wilaya au mkoa mmoja. Jiulize kwa nini leo hii kila mbunge kutoka mkoa wa pwani ni waziri
 
Nakumbuka Magufuli aliwahi uliza hivi

" mimi nimewakosea nini, kwanini Mwinyi mkampa miaka 10, Mkapa akamaliza yake 10, Mzee Jakaya akamaliza yake 10. Kwanini msiache nimalizie 10 yangu? '

Na kweli hakumaliza na kaingia kwenye historia ya Rais wa Kwanza kufia madarakani.

Yaonesha kuna watu wako juu yao, wana nguvu kuliko wao.

Huyu wa sasa naye hatafikisha 10 ataishia 9 au 4

Juzi alisema kuwa kuna watu wanafanya vibaya wakifukuzwa wanakimbia kwa Magodfather wao,Magodgather nao mbio kwa Rais.

Je anawaogopa Magodfather ndo maana hafanyi mabadiliko?
 
Nakumbuka Magufuli aliwahi uliza hivi

" mimi nimewakosea nini, kwanini Mwinyi mkampa miaka 10, Mkapa akamaliza yake 10, Mzee Jakaya akamaliza yake 10. Kwanini msiache nimalizie 10 yangu...
Magu kafa kwa utaahira wake wa kudharau COVID wakati ana magonjwa ya moyo. Na kwa ujinga wake mpaka watu wake wa karibu wamekufa Kwasababu ya kumuogopa.
 
Back
Top Bottom