Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,120
Aweda,
Unaongelea 'products' au kampuni? Kama ni products naweza kukubali. Kampuni za Bakhresa hazifiki 300. Kampuni zake zimeorodheshwa zote katika tovuti yake, hazifiki hata 20. Kwa uhakika zaidi chungulia HAPA, kama walivyoandika wenyewe wenye kampuni zao.
hata samsung ni walipa kodi wazuri huko korea japo waraji wa bidhaa zao wako mpaka rufiji.
Sasa hapa sijui umewakilisha nini hasa.
Kodi kutoka mishahara ya Wafanyakazi wa Serikali wote nchini, inakatwa Hazina na kubakia huko huko Dsm!
JK Kwani huwa anatumia akili/mas...buri kufikiri?washaur wake ndo kina ritz
Nakupinga bakhresa hamiliki makampuni 300.