Rais amepotoshwa, si kweli kuwa mkoa wa Dar unachangia 80% ya pato la taifa. Kwa sababu;

Rais amepotoshwa, si kweli kuwa mkoa wa Dar unachangia 80% ya pato la taifa. Kwa sababu;

Ni kweli kuwa Serikali inakusanya mapato mengi sana Dar lakini kwa issue ya 80% Mkuu wa kaya ali-exaggerate hizo percentage
 
Wakati akijenga hoja ya kuteta usafirishaji wa gesi kuja Dsm, Rais alisema kwamba mkoa wa Dar unachangia 80% ya pato la Taifa. kwa hiyo, alimaanisha kwamba kama kila mkoa utang'ang'ania rasimali zake Dar ndo itafaidika kuliko mikoa yote. Kwa maoni yangu Rais amepotoshwa na washauri wake. Kwa sababu zifuatazo;

Walipa kodi wengi wa nchi hii wana makao makuu yao Dar lakini shughuli za uzalishaji wao na watumiaji wa bidhaa zao wako nchi nzima. Nitatoa mifano michache.

1) Bakhresa (Bilionea no 1mwenye kampuni zaidi ya 300) analipa kodi hapa Dar kutokana na biashara zake za mikate, mafuta ya kupikia, ice cream nk. Lakini ngano na alizeti iliyotumika kuzalisha bidhaa hiyo haijazalishwa hapa Dar, imetoka mikoani. Pili, watumiaji wa bidhaa hiyo siyo wa Dar tu, ni nchi nzima. Ila kodi analipia hapa Dar.

Mengi anapolipa kodi kwa biashara ya maji, coca cola analipia TRA Dar, ilipo makao makuu ya IPP. Lakini maji yake yananywewa na watz kutoka mikoa yote. Na kiwanda cha maji si lazima iwe Dar.

Vituo vya Tv, Radio,magazeti nk wanalipa kodi hapa Dar, lakini walaji wa bidhaa yao ni nchi nzima. TV inaoneshwa nchi nzima, magazeti yanasomwa nchi nzima. Nimetoa mifano michache tu.

Kwa hiyo, hoja hii ya Mkapa ( miaka ya nyuma) na Kikwete majuzi kuwa Dsm inachangia 80% ya pato la Taifa ni upotoshaji wa wazi ama ni uvivu wa kufikiri wa wasaidizi wao wanaohusika.

Nawasilisha.

Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro iko Arusha lakini kwa kuwa Big Tax payer faili liko DSM; Leopard Tours nayo ni Big Tax Payer faili liko DSM; Tanzania Breweries wana plant Arusha na Mwanza faili liko DSM, Tanga Cement Big Tax payer faili liko DSM, Twiga Cement big tax payer faili liko DSM, Mabenki yote mafaili yako DSM ukiacha Community banks. Hili litarekebshwa na sheria ya majimbo 2016
 
we jamaa unatunga maneno,sijui hata huko kwenye tv wanatumia vigezo gani kukualika.hebu tutajie japo makampuni hamsini ya huyo bakharesa ili tuone kama una hakika na unachokiongea.
Mimi nawashauri msichukulie kila kitu kwa mtazamo wa kisiasa. Hapa tuko ktk jukwaa la kiuchumi. Hoja ya msingi ni Bakhresa ni mlipa kodi mkubwa kuliko wote hapa nchini. Analipia Dar, haimaanishi kwamba kwa kuwa ofisi zake ziko Dar Bidhaa zake zote zinatoka dar na zinatumika Dar. Hapa Rais amepotoshwa. unakubali au unakataa.
 
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro iko Arusha lakini kwa kuwa Big Tax payer faili liko DSM; Leopard Tours nayo ni Big Tax Payer faili liko DSM; Tanzania Breweries wana plant Arusha na Mwanza faili liko DSM, Tanga Cement Big Tax payer faili liko DSM, Twiga Cement big tax payer faili liko DSM, Mabenki yote mafaili yako DSM ukiacha Community banks. Hili litarekebshwa na sheria ya majimbo 2016

Asante great thinker. Naona umekuja na data nyingi kujaziliza hoja yangu. Mtu mwenye akili ya kuelewa hapa ameelewa. Labda mbishi.
 
Wakati akijenga hoja ya kuteta usafirishaji wa gesi kuja Dsm, Rais alisema kwamba mkoa wa Dar unachangia 80% ya pato la Taifa. kwa hiyo, alimaanisha kwamba kama kila mkoa utang'ang'ania rasimali zake Dar ndo itafaidika kuliko mikoa yote. Kwa maoni yangu Rais amepotoshwa na washauri wake. Kwa sababu zifuatazo;

Walipa kodi wengi wa nchi hii wana makao makuu yao Dar lakini shughuli za uzalishaji wao na watumiaji wa bidhaa zao wako nchi nzima. Nitatoa mifano michache.

1) Bakhresa (Bilionea no 1mwenye kampuni zaidi ya 300) analipa kodi hapa Dar kutokana na biashara zake za mikate, mafuta ya kupikia, ice cream nk. Lakini ngano na alizeti iliyotumika kuzalisha bidhaa hiyo haijazalishwa hapa Dar, imetoka mikoani. Pili, watumiaji wa bidhaa hiyo siyo wa Dar tu, ni nchi nzima. Ila kodi analipia hapa Dar.

Mengi anapolipa kodi kwa biashara ya maji, coca cola analipia TRA Dar, ilipo makao makuu ya IPP. Lakini maji yake yananywewa na watz kutoka mikoa yote. Na kiwanda cha maji si lazima iwe Dar.

Vituo vya Tv, Radio,magazeti nk wanalipa kodi hapa Dar, lakini walaji wa bidhaa yao ni nchi nzima. TV inaoneshwa nchi nzima, magazeti yanasomwa nchi nzima. Nimetoa mifano michache tu.

Kwa hiyo, hoja hii ya Mkapa ( miaka ya nyuma) na Kikwete majuzi kuwa Dsm inachangia 80% ya pato la Taifa ni upotoshaji wa wazi ama ni uvivu wa kufikiri wa wasaidizi wao wanaohusika.

Nawasilisha.

kwa nini mnashdwa kufikiria hoja nzima mnafikiria nusunusu nyie ndo mnapotosha sasa.
 
Mimi nawashauri msichukulie kila kitu kwa mtazamo wa kisiasa. Hapa tuko ktk jukwaa la kiuchumi. Hoja ya msingi ni Bakhresa ni mlipa kodi mkubwa kuliko wote hapa nchini. Analipia Dar, haimaanishi kwamba kwa kuwa ofisi zake ziko Dar Bidhaa zake zote zinatoka dar na zinatumika Dar. Hapa Rais amepotoshwa. unakubali au unakataa.

usijitapishie mwenyewe tena mkuu..hoja yako yenyewe iko kisiasa umeiweka kama ulivyochangia jana itv malumbano ya hoja... nashukuru vijana wengi walikuwa kinyume na wewe teh teh....... wewe unafikiria kisiasa badala ya kiuchumi..na sijui kama umewahi kufika mtwara au unakujua arusha,moshi =chadema
 
Wakati akijenga hoja ya kuteta usafirishaji wa gesi kuja Dsm, Rais alisema kwamba mkoa wa Dar unachangia 80% ya pato la Taifa. kwa hiyo, alimaanisha kwamba kama kila mkoa utang'ang'ania rasimali zake Dar ndo itafaidika kuliko mikoa yote. Kwa maoni yangu Rais amepotoshwa na washauri wake. Kwa sababu zifuatazo;

Walipa kodi wengi wa nchi hii wana makao makuu yao Dar lakini shughuli za uzalishaji wao na watumiaji wa bidhaa zao wako nchi nzima. Nitatoa mifano michache.

1) Bakhresa (Bilionea no 1mwenye kampuni zaidi ya 300)
analipa kodi hapa Dar kutokana na biashara zake za mikate, mafuta ya kupikia, ice cream nk. Lakini ngano na alizeti iliyotumika kuzalisha bidhaa hiyo haijazalishwa hapa Dar, imetoka mikoani. Pili, watumiaji wa bidhaa hiyo siyo wa Dar tu, ni nchi nzima. Ila kodi analipia hapa Dar.

Mengi anapolipa kodi kwa biashara ya maji, coca cola analipia TRA Dar, ilipo makao makuu ya IPP. Lakini maji yake yananywewa na watz kutoka mikoa yote. Na kiwanda cha maji si lazima iwe Dar.

Vituo vya Tv, Radio,magazeti nk wanalipa kodi hapa Dar, lakini walaji wa bidhaa yao ni nchi nzima. TV inaoneshwa nchi nzima, magazeti yanasomwa nchi nzima. Nimetoa mifano michache tu.

Kwa hiyo, hoja hii ya Mkapa ( miaka ya nyuma) na Kikwete majuzi kuwa Dsm inachangia 80% ya pato la Taifa ni upotoshaji wa wazi ama ni uvivu wa kufikiri wa wasaidizi wao wanaohusika.

Nawasilisha.

Heshima mbele mkuu Mikael P Aweda, Hilo la kusema Bakhresa analipa Kodi sikubaliani nalo na wala sidhani kama Bakhresa analipa kodi inavyotakiwa. Tanzania ni nchi ya ajabu sana TRA wana ofisi zao za kodi kwa Bakhresa huu ni ufisadi. Haiwezekani TRA wakawafuata wafanyabishara kwa kuwafungulia ofisi za kulipia kodi zao. Huu ni upuuzi na upumbavu wa serikali iliyo dhaifu. Kwa nini wasiwe wanalipia TRA kwenyewe? Tangu lini Bill Gates akawa na ofisi za kulipia kodi kwenye ofisi zake?
 
hata samsung ni walipa kodi wazuri huko korea japo waraji wa bidhaa zao wako mpaka rufiji.
Sasa hapa sijui umewakilisha nini hasa.

kama amesoma hapa ni wazi ataelewa kikwete alichomaanisha ingawa naichukia hii serikali kupenda kufanya dar ndio kila kitu, nadhani sasa maendeleo yawafuate watu huko mikoani badala ya kila bidhaa kuja kutengenezewa dar es salaam
 
usijitapishie mwenyewe tena mkuu..hoja yako yenyewe iko kisiasa umeiweka kama ulivyochangia jana itv malumbano ya hoja... nashukuru vijana wengi walikuwa kinyume na wewe teh teh....... wewe unafikiria kisiasa badala ya kiuchumi..na sijui kama umewahi kufika mtwara au unakujua arusha,moshi =chadema

Kibe Jana ktk malumbano ya hoja kati ya wachangiaji karibu 30 ni wachangiaji 3 tu waliomuunga mkono Rais na sera yake ya kuleta gesi Dar. Unapotosha kwa makusudi. Turudi kwenye mada.
 
Heshima mbele mkuu Mikael P Aweda, Hilo la kusema Bakhresa analipa Kodi sikubaliani nalo na wala sidhani kama Bakhresa analipa kodi inavyotakiwa. Tanzania ni nchi ya ajabu sana TRA wana ofisi zao za kodi kwa Bakhresa huu ni ufisadi. Haiwezekani TRA wakawafuata wafanyabishara kwa kuwafungulia ofisi za kulipia kodi zao. Huu ni upuuzi na upumbavu wa serikali iliyo dhaifu. Kwa nini wasiwe wanalipia TRA kwenyewe? Tangu lini Bill Gates akawa na ofisi za kulipia kodi kwenye ofisi zake?

Mkuu,
Tuko pamoja. Nimesema kwamba ni mmoja wa tajiri mkubwa lakini sijasema ni mlipa kodi no 1. Hoja yangu ni kwamba bidhaa yake inatumika nchi nzima na rasimali zinatoka mikoa yote halafu wakubwa wanasifu Dar tu.
 
hata samsung ni walipa kodi wazuri huko korea japo waraji wa bidhaa zao wako mpaka rufiji.
Sasa hapa sijui umewakilisha nini hasa.

Mkuu hapa tunazungumza ndani ya nchi mmoja. Bidhaa inayouzwa nje ya nchi huwa ni case tofauti kabisa. Kwa mfano, serikal inajua mauzo yanayofanywa nje ya nchi kila mwaka kama ya dhahabu, Tazanite, pamba, ngozi nk. Japokuwa taarifa zimechakachuliwa kifisadi lakini wanayo. Kwa hiyo, tusichanganye mada. Ni vitu 2 tofauti.
 
Asante mkuu huo mfano unamtosha huyu kilaza.Ungeongoza na nokia.Wengine kwa kuandika Mabata wanaweza.
hata samsung ni walipa kodi wazuri huko korea japo waraji wa bidhaa zao wako mpaka rufiji.
Sasa hapa sijui umewakilisha nini hasa.
 
Ni ukweli kuwa mazao ghafi lazima yapelekwe Dar ambako tayari kuna viwanda na baadaye kusambaza bidhaa mikoani. Tatizo nini?
 
Mimi sina shida hata kama Dar itachangia zaidi ya 80% ya uchumi, pointi hapa ni kwamba sisi wote ni watanzania na tz ni moja na tuna haki sawa ya maendeleo. sasa kama kila kitu utawekeza Dar, vipi kuhusu mikoani? kwangu mimi huu ndo ubaguzi tofauti hata na wanamtwara kama ilivyosemwa kuwa ni wabaguzi. Ndo maana jamaa (national officers) wamegoma kuhamia Ddm, they only think of Dar, imagine!!
 
Si 300 ni zaidi ya 300. Ninakupa taarifa za uhakika. Siyo vizuri kutaja majina ya watu lakini ninafahamiana kwa karibu sana na watu wenye nafasi kubwa ktk makampuni ya Bakhresa.


Aweda,
Unaongelea 'products' au kampuni? Kama ni products naweza kukubali. Kampuni za Bakhresa hazifiki 300. Kampuni zake zimeorodheshwa zote katika tovuti yake, hazifiki hata 20. Kwa uhakika zaidi chungulia HAPA, kama walivyoandika wenyewe wenye kampuni zao.
 
Nakupinga bakhresa hamiliki makampuni 300.

Wewe kumiliki kampuni unakuelewaje? Hata ukiwa na hisa 3 ni mmiliki........jaribu kusoma porfolio investment ndio utamjua Bkhressa ni nani......sio mikate na lambalamba tu......ana hisa mpaka Coca Cola
 
Back
Top Bottom