kikwete akutaka kumpa mwenyewe kwa sababu zake binafsiTukurudi kwa Kimei kama meneja ni mmoja wapo wa watu ambao Rais alifikiria kumpa Ugavana BoT ( from a reliable source) badala ya Balali kufariki. Inasemekana Usalama wa Taifa ukamshauri Rais vinginenvyo.
Kwa mtazamo wangu Kimei akipewa nishani kama yeye italeta utata maana uongozi ni zaidi ya kutengeneza faida. What about ethics?
Kimei is simply doing what he is paid to do. Apewe Nishani? for what exactly? hivi mentality ya watanzania kufanya kazi unayotakiwa kufanya na kutegeme sifa itaisha lini? Kama anastahili atapewa...kizuri cha jiuza kibaya cha jitembeza...
CRDB..is still mediocre kwa standards za modern banking. Infact jamaa wa CRDB nilikuwa na account nao..nilishaifunga..wanabore sana hawa jamaa....huduma zao ni mbovu. Yes, I say it as a customer with experience. Kimei amejitahidi lakini si ndo maana analipwa millions?
To me, mtu anayestahili nishani ni mtu ambaye amelitumikia taifa katika mazingira magumu ya sacrifice..What has Kimei sacrificed?
Think about it...I dont see anything special Kimei has done. Kwamba aliitoa benki on the brink of collapse? thats exactly what he was hired to do.
Ni muda mrefu sikuweko nchini niliporudi kwa likizo nilishangaa kukuta Benki ya CRDB ambayo niliicha ikiwa ni shirika la umma iliyokuwa hatarini kufa wakati naondoka ikiwa benki imara ya ajabu ambayo ilikuwa na uwezo wa kushindana na mabenki makubwa ya nje kwa huduma za kisasa za kibenki.
Benki ile ingekuwa imekufa na si siri .Nilipouliza ni wazungu gani wameifikisha hapo katika mafanikio yake nikaambiwa hakuna mzungu bali kuna Managing Director Mswahili anaitwa Charles KImei ndiye kaifikisha hapo ilipo.
Huyu kaitoa CRDB iliyokuwa imechoka ikichungulia kaburi hadi hapo ilipo .Sioni sababu ni kwa nini Mtanzania aliyefanya maajabu ya kuifanya iwe ya faida ya kisasa asipewe nishani na Raisi.Ni msomi aliyebaki nchini wa kupigiwa saluti.Wasomi wengi watanzania walipewa mashirika ya UMMA zaidi ya mia nne karibu mia nne yote yamekufa mikononi mwa wasomi hao uchwara yaliyonusurika yamenusurikia mikononi mwa ma-managing directors wageni.CRDB imenusikia mikononi mwa Managing Director Mtanzania ni kwa nini asipewe nishani na Raisi? Kwa maoni yangu napendekeza akumbukwe ni symbol muhimu ya wasomi wa Tanzania kuiga kuwa msomi anayejua kazi yake hata akipewa shirika la umma linalokaribia kufa kama kichwa chake kiko fit na hakusoma kukariri notes na kununua mitihani aweza lifanya lizae faida na likashindana na mashirika ya kimataifa bila woga.
Kimei ni mtaalamu wa kuangalia fedha atazipata wapi. Sasa kaletewa hela nyingi tuuazikatae??.Pesa nyingi halali zilipitia CRDB kwenda kufanya kazi haramu. Ukisikia fedha za EPA...........kwa njia moja au nyingine utakuta CRDB imejihusisha. Sasa hiyo Nishani ya nini??
Hakuna mantiki yeyote ya yeye kupewa nishani kama Masanja alivyonena hapo juu kwani ni wajibu wake, yaani tumeshazoea watu kuzembea kiasi kwamba mtu akifanya kazi yake anayostahili basi anahitaji motisha.
Kwanza mwambie Kimei atatatue matatizo ya wateja wake wa Tanzanite Account. Hebu angalia hapo chini.
http://issamichuzi.blogspot.com/2009/09/hoja-ya-haja-juu-ya-tanzanite-account.html#comments
http://issamichuzi.blogspot.com/2009/09/libeneke-la-tanzanite-account-ya-crdb.html#comments
....Bado Tanesco jamani...Shirika linapumulia mashine naona Dr. Idrisa Rashid nae anastahili nishani kwa kuchemka na Tanesco yake!!!Ni muda mrefu sikuweko nchini niliporudi kwa likizo nilishangaa kukuta Benki ya CRDB ambayo niliicha ikiwa ni shirika la umma iliyokuwa hatarini kufa wakati naondoka ikiwa benki imara ya ajabu ambayo ilikuwa na uwezo wa kushindana na mabenki makubwa ya nje kwa huduma za kisasa za kibenki.
Benki ile ingekuwa imekufa na si siri .Nilipouliza ni wazungu gani wameifikisha hapo katika mafanikio yake nikaambiwa hakuna mzungu bali kuna Managing Director Mswahili anaitwa Charles KImei ndiye kaifikisha hapo ilipo.
Huyu kaitoa CRDB iliyokuwa imechoka ikichungulia kaburi hadi hapo ilipo .Sioni sababu ni kwa nini Mtanzania aliyefanya maajabu ya kuifanya iwe ya faida ya kisasa asipewe nishani na Raisi.Ni msomi aliyebaki nchini wa kupigiwa saluti.Wasomi wengi watanzania walipewa mashirika ya UMMA zaidi ya mia nne karibu mia nne yote yamekufa mikononi mwa wasomi hao uchwara yaliyonusurika yamenusurikia mikononi mwa ma-managing directors wageni.CRDB imenusikia mikononi mwa Managing Director Mtanzania ni kwa nini asipewe nishani na Raisi? Kwa maoni yangu napendekeza akumbukwe ni symbol muhimu ya wasomi wa Tanzania kuiga kuwa msomi anayejua kazi yake hata akipewa shirika la umma linalokaribia kufa kama kichwa chake kiko fit na hakusoma kukariri notes na kununua mitihani aweza lifanya lizae faida na likashindana na mashirika ya kimataifa bila woga.
Haya mambo hata ukiyafukia chini kiasi gani..yanaibuka here and there as a reminder that justice has to be done.kikwete akutaka kumpa mwenyewe kwa sababu zake binafsi
mbona huo usalama wa taifa haujamshauri kuhusu peter noni na wengine wengi tu.....