Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Kwa wale wanaodhani Magufuli alikuwa pekee wafikirie tena.
Asilimia kubwa ya maamuzi yake ni report tu alizokuwa anasoma na kuamua kutokana na option anazopewa.
Nape, Mwigulu na Makamba; eleweni vita mnavyonunua sio na marehemu bali watu waliohai.
Kibaya zaidi hiyo vita kapewa mtu ambae anawalia timing tu.
Asilimia kubwa ya maamuzi yake ni report tu alizokuwa anasoma na kuamua kutokana na option anazopewa.
Nape, Mwigulu na Makamba; eleweni vita mnavyonunua sio na marehemu bali watu waliohai.
Kibaya zaidi hiyo vita kapewa mtu ambae anawalia timing tu.