MkuuTuliwaasa Chadema
Comrade leo mmeshapima korona mafenesi mangapi?Bunge linakusanya kodi?
Kitendo cha kutamka hadharani kwamba ametoa agizo hilo, huoni namna ambavyo amedhihirisha Utawala wake wa Mabavu?Kwani posho ni nin mkuu? Me nazani chadema walijua kabisa kujiisolet watakosa posho na wamekubaliana na hilo...nachojua unalipwa posho baada ya kusaini mahudhilio pindi uingiapo bungeni sio otherwise....Jiwe anatafuta kiki tu za.kishamba kwenye hilii.
Wewe ulisema mshahara mwenzio kasema poshoTuliwaasa Chadema
Thubutu anaanzaje kujibu wkt yeye ni mzee wa ndio mzee hawez hata kuulinda mhimili wake labda kama angekuwa mzee six ndo sabufaIngependeza kama speaker wa bunge amjibu rais kama alivyofanya speaker wa Uganda juzi kwa rais Museven ili kuonesha nguvu ya bunge kama mhimili unaojitegemea na wenye maamuzi yake so rais auheshimu.
Anazidi kudhihirisha hilo,na 'supika' atajibu naenda kutekeleza hilo mara 1 mkuu.Kuna muhimili mmoja umejishindilia chini zaidi