Rais anapata wapi mamlaka ya kuagiza Spika asilipe posho za Wabunge?

Rais anapata wapi mamlaka ya kuagiza Spika asilipe posho za Wabunge?

Rais ndio mwenye hazina
Unataka pesa bila kufanya kazi?tumeshatoka huko
Kama mambo yako hivi, huioni hatari iliyopo kwenye muhimili wa Mahakama?
 
Wakuu, ile dhana ya uwepo wa Mihimili Mitatu inayojitegemea ni DANGANYA TOTO TU. Magufuli amedhihirisha hilo leo kwa kuagiza Ndugai asilipe posho za Wabunge walioamua kujiweka "karantini".

My take: Tuna utawala wa Mkono wa Chuma, tusitarajie Uchaguzi Huru hapo Oktoba mwaka huu.
Kwa hilo hapana Yuko sahihi unalipwaje posho wakati haupo kazini?Hivi tafsiri ya posho ni nn?Kama huko kwenye kikao au vikao unalipwaje allowances.Tuache ushabiki hebu tuwe empirical ni Sasa kulipwa posho wakati huko kwenye vikao vya bunge.Something is not correct with Cdm.Rethink.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan mtu anakaa tu nyumban halaf apewe posho upumbavu huo hizo posho si bora wapewe madokta na wauguzi tu
 
Ingependeza kama speaker wa bunge amjibu rais kama alivyofanya speaker wa Uganda juzi kwa rais Museven ili kuonesha nguvu ya bunge kama mhimili unaojitegemea na wenye maamuzi yake so rais auheshimu.
Yule mama wa Uganda ana balls,ndugai ana eggs!
 
Kwanini lisifutwe basi tukabakia na hiyo serikali pekee? Kwanini tuidanganye dunia kwamba tuna Bunge huru wakati ukweli ni kinyume chake?
dunia ni kina nani mkuu? ni kweli sisi tunadanganya sana wazungu kwenye check and balance ni executive inaburuza wenzake openly, bongo hatuna uhuru wa kukashifu na kupinga serikali kwenye public, uchaguzi wetu chenga chenga tu, watoto wenye mimba kurudi skuli hatuafiki ila tunasaini na kuchukua mpunga, ushoga hatutakaa tuukubali ila tunasaini kuwa hatuna shida na mashoga!!

kitu kizuri wazungu hutudanganya mengi zaidi ya tunayowadanganya sie!!! Mungu akupe nafasi uishi na wazungu uzunguni hutaamini utakayojionea!!! hali ya hewa ni mbaya mno huko miezi mingi, ni miezi mitatu au minne tu ya summer ndio huenjoy ila muvi zao nyingi ni za summer bata kama zote basi kila mtu mweusi ataka akaishi huko hawajui ukienda uzunguni unaishia ndani miezi nane baridi kali!! wazungu omba omba barabarani na mateja kama wote! wazungu ni watu feki mno , asilimia 80 ni vilaza, form six mtu kasoma balaa! kila mtu ni mdeni wa benki, kampuni ya cm, supermaket na manispaa!! wazungu ni wabaguzi wa rangi openly, ukitangulia kukalia siti ya mbele kwenye daladala wote watapita wakakae nyuma, ukikaa nyuma wanahamia mbele!! bus likijaa ukisimama nyuma ya mzungu mkoba wake ulioko mgongoni au ubavuni anautoa anauweka mbele kwenye tumbo lake!! wazungu husema watu weusi hutoa harufu kali na mbaya ya jasho si wa kuhug hug ovyo! nao husema mengi tofauti na wanayotenda kwa watu weusi!! mi sioni dhambi kuwazuga mambo yetu labda tujisikie vibaya kudanganya weusi wenzetu si wazungu i talk from bad experience ya kuishi na wazungu! trust me!!
 
Kwa hilo hapana Yuko sahihi unalipwaje posho wakati haupo kazini?Hivi tafsiri ya posho ni nn?Kama huko kwenye kikao au vikao unalipwaje allowances.Tuache ushabiki hebu tuwe empirical ni Sasa kulipwa posho wakati huko kwenye vikao vya bunge.Something is not correct with Cdm.Rethink.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, kwa muktadha huo huo, unawezaje kuamini kwamba Mahakama ni huru?
 
Tuliwaasa Chadema
Umeelewa mada? Unajua kusoma kweli? Mada iliyopo mezani haihusu chadema kutokulipwa posho au la bali inahusu Rais ana mamlaka ya kumuamuru speaker kuzuia wabunge kulipwa posho au la!
 
Sasa Jumatatu ngoja kuwepo na "Tanzia" tano toka mjengoni,uone kama wote hawajaenda karantini ya lazima.
Hizo posho sijui watazikutia wapi.
 
Back
Top Bottom