wakatanta
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 2,594
- 3,158
Mishahara ,Siku 14 walizojiaisoleti zitakuwa eksikuludedi kwenye malipo yao
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Kwani posho ni nin mkuu? Me nazani chadema walijua kabisa kujiisolet watakosa posho na wamekubaliana na hilo, nachojua unalipwa posho baada ya kusaini mahudhilio pindi uingiapo bungeni sio otherwise. Jiwe anatafuta kiki tu za.kishamba kwenye hilii.
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app