wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Rais ni sehemu ya Bunge, ndiye boss. Ndio maana Job ana mhanya jamaa. Anasema yeye ndiye mlipaji.
Uliona wapi bunge linakusanya kodi..? Sasa wewe mchezee bwana Mapato uone kama utapewa mgao.
Utapata 4% ya bajeti. Ama unajifanya huoni wizara zinavyopigwa panga kwa bajeti iliyopitishwa na bunge na hakuna lolote lile.
Acha kuwaingiza chaka akina Job na timu yake,wasije limia meno.
Sent using iphone pro max
Uliona wapi bunge linakusanya kodi..? Sasa wewe mchezee bwana Mapato uone kama utapewa mgao.
Utapata 4% ya bajeti. Ama unajifanya huoni wizara zinavyopigwa panga kwa bajeti iliyopitishwa na bunge na hakuna lolote lile.
Acha kuwaingiza chaka akina Job na timu yake,wasije limia meno.
Sent using iphone pro max