Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,175
- 4,299
Kuna kitu watu mbumbumbu hawakielewi
Yan Rais, spika na Waziri, mkuu wa mkoa na wilaya mtaji wao n chama Cha siasa na chama Cha siasa kinaongozwa na mwenyekiti Taifa Hadi Kaz ya chini ya mjumbe wa shina.
Sasa hao wote wanamabosi wao kwenye vyama vyasiasa Yan mwenyekiti wa chama mkoa husika anapotoka Spika au waziri fulan na anaweza kumkanya au kumfuta uanachama na ukifutwa uanachama automatically unakosa sababu ya kuwa waziri au Spika au Rais ndomana Vyama vya siasa wanajitahid kumpa mtu potential kwa chama ndan ya muda sahihi nafasi kubwa Kama mwenyekiti ili kuzuia Mambo ya conflict ndan ya chama na Dola.
MFano mbowe hawez kuwa mwenyekiti wa mkoa wa Kilimanjaro tuu bila kuwa mwenyekiti Taifa sababu anajua akiwa hvyo n rahisi mwenyekiti wake kumfuta uanachama kwa sababu ambazo wataona zifaa.
Haya Mambo ya siasa yanavitu vingi mno Ila ubaya wengi humu waposiasa darasa la nne Yan ndo kwanza wanaotegemea kufanya national exam mwaka huu wakati siasa yenyewe ilishagrauate ma PhD Kama ya the late Robert Mugabe.
Ndo wengi humu wanahoji mstari bila kuhoji Mana nzima ya kitabu
Yan Rais, spika na Waziri, mkuu wa mkoa na wilaya mtaji wao n chama Cha siasa na chama Cha siasa kinaongozwa na mwenyekiti Taifa Hadi Kaz ya chini ya mjumbe wa shina.
Sasa hao wote wanamabosi wao kwenye vyama vyasiasa Yan mwenyekiti wa chama mkoa husika anapotoka Spika au waziri fulan na anaweza kumkanya au kumfuta uanachama na ukifutwa uanachama automatically unakosa sababu ya kuwa waziri au Spika au Rais ndomana Vyama vya siasa wanajitahid kumpa mtu potential kwa chama ndan ya muda sahihi nafasi kubwa Kama mwenyekiti ili kuzuia Mambo ya conflict ndan ya chama na Dola.
MFano mbowe hawez kuwa mwenyekiti wa mkoa wa Kilimanjaro tuu bila kuwa mwenyekiti Taifa sababu anajua akiwa hvyo n rahisi mwenyekiti wake kumfuta uanachama kwa sababu ambazo wataona zifaa.
Haya Mambo ya siasa yanavitu vingi mno Ila ubaya wengi humu waposiasa darasa la nne Yan ndo kwanza wanaotegemea kufanya national exam mwaka huu wakati siasa yenyewe ilishagrauate ma PhD Kama ya the late Robert Mugabe.
Ndo wengi humu wanahoji mstari bila kuhoji Mana nzima ya kitabu