uniq
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 5,089
- 31,084
Kwahiyo wewe ulitaka walipwe posho wakiwa wamwelala nyumbani huku wengine wapo kazini.
Huendi kazini hulipwi.
Asiefanya kazi na asile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huendi kazini hulipwi.
Asiefanya kazi na asile.
Wakuu, ile dhana ya uwepo wa Mihimili Mitatu inayojitegemea ni DANGANYA TOTO TU. Magufuli amedhihirisha hilo leo kwa kuagiza Ndugai asilipe posho za Wabunge walioamua kujiweka "karantini".
Kama Rais ana mamlaka ya kuliingilia Bunge, vipi kuhusu Mahakama? Atashindwaje kutoa maagizo yanayofanana na hayo kwenye Tume yake ya Uchaguzi hapo Oktoba?
My take: Tuna utawala wa Mkono wa Chuma, tusitarajie Uchaguzi Huru hapo Oktoba mwaka huu.
Sent using Jamii Forums mobile app