Rais anapata wapi mamlaka ya kuagiza Spika asilipe posho za Wabunge?

Rais anapata wapi mamlaka ya kuagiza Spika asilipe posho za Wabunge?

Anauwezo huo kama head of state na sio kama head of government, hayo ni mamlaka yake ya kikatiba.
Under which Article of URT Constitution? Being a Head of State hakumfanyi kuisigina Katiba. He is not above the Constitution. Endeleeni ku support kila ujinga hadi siku atakapowa amputate since he is a Head of State.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais wa Tanzania kwa mujibu wa katiba ni mkuu wa nchi na kiongozi mkuu wa serikali pia hivyo Spika na Jaji mkuu wako chini yake.

Rais anapotoa maagizo ni vizuri tukaelewa anayatoa katika capacity gani na siyo kuibuka na kuanza kumpinga bila uelewa.
Kwa mfano Rais kama mkuu wa nchi anaweza kulivunja bunge wakati wowote anaporidhika kuna sababu za kufanya hivyo kadhalika anaweza kutoa miongozo fulani kwa Spika au Jaji mkuu.

Tunaposema mihimili ya Serikali, Bunge na Mahakama ni sawa hatumaanishi kwamba viongozi wake wako sawa, la hasha ndio maana mahakama iko chini ya wizara ya katiba na sheria na bunge liko chini ya ofisi ya Waziri mkuu kiutawala.

Mafungu ya fedha za bunge yapitishwa kupitia ofisi ya Waziri mkuu na matumizi yake ni lazima yawe kwa mujibu wa utaratibu wa mlipaji mkuu wa serikali.

Hivyo ni sahihi kabisa Rais Magufuli " kumkumbusha" Spika kwamba fedha ya serikali ina utaratibu wake hivyo wabunge wa Chadema wasiohudhuria vikao wasilipwe posho.
Endapo Spika atapuuza basi taratibu za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

Niko tayari kusahihishwa.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
Hapo pa kulivunja Bunge soma vizuri katiba imefafanua mambo gani yakitokea atavunja Bunge na pia, utambue Kwa mujibu wa katiba yetu Rais alivunja Bunge anakuwa amejitumbua mwenyewe kwakuwa anakoma kuwa Rais na uchaguzi unaitishwa
 
Wakuu, ile dhana ya uwepo wa Mihimili Mitatu inayojitegemea ni DANGANYA TOTO TU. Magufuli amedhihirisha hilo leo kwa kuagiza Ndugai asilipe posho za Wabunge walioamua kujiweka "karantini".

Kama Rais ana mamlaka ya kuliingilia Bunge, vipi kuhusu Mahakama? Atashindwaje kutoa maagizo yanayofanana na hayo kwenye Tume yake ya Uchaguzi hapo Oktoba?

My take: Tuna utawala wa Mkono wa Chuma, tusitarajie Uchaguzi Huru hapo Oktoba mwaka huu.
Mawazo mgando KABISA


WEWE unadhani Bunge linakusanya kodi???

Hao chadema wasiokuwa na mwelekeo ndo wakalipwe posho ya vikao wakiwa nyumbani.


Huo UJINGER UNAOUWAZA HAUPO KATIKA TANZANIA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Akishauri Ni Amri Bwana Mwenyekiti Huelewi 😄😅😃🤣😀😁😂
 
Nahofia hii corona haina macho,
Isije kurukia chato kule kwenye lile ksri la mzee ika muumbua?
 
Ni mkuu wa nchi kwani mbowe anapata wapi mamlaka ya kuzuia wabunge wasiende kwenye vikao vya bunge.unalupwaje mshahara Kama hufanyi kazi.you guys don't politicise.if you don't work never it.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye "red" unamaanisha nini Mkuu?
 
Ebo! Kumbe ulitegemea walipwe kwa kujiweka karantine na makahaba hotelini dodoma! Nina uhakika hata mh. Spika angefanya hivyo hata bila kushauriwa na rais! Kama hii kwako ni chungu pole lakini ndio ukwwli!
Rais hakupaswa kutamka kauli ile, hapo ndipo utata wa uwepo wa mihimili mitatu unapoanzia. Magufuli amedhihirisha kuwa yeye ni mtawala wa MABAVU. Period.
 
Wakuu, ile dhana ya uwepo wa Mihimili Mitatu inayojitegemea ni DANGANYA TOTO TU. Magufuli amedhihirisha hilo leo kwa kuagiza Ndugai asilipe posho za Wabunge walioamua kujiweka "karantini".

Kama Rais ana mamlaka ya kuliingilia Bunge, vipi kuhusu Mahakama? Atashindwaje kutoa maagizo yanayofanana na hayo kwenye Tume yake ya Uchaguzi hapo Oktoba?

My take: Tuna utawala wa Mkono wa Chuma, tusitarajie Uchaguzi Huru hapo Oktoba mwaka huu.
Hivi ulielewa aliposema huu muhimili umejichimbia chini zaidi?😂😂😂
 
Tuliwaasa Chadema

Wabunge wa Chadema wakichaguliwa na Watanzania wakawawakilishe bungeni

Ila Mbowe kwa ubabe wake bila kushirikiana na Spika amewakataza wabunge wa Chadema wasihudhurie vikao

Kwanza ieleweke Mbowe huwakata wabunge wake zaidi ya milion kwenye mshahara wa mbunge

Leo anawakataza wasichukue hata posho ?

Mbowe ajitathimini akae pembeni akili imefika kikomo
Siyo mbowe wewe huogopi ugonjwa hebu tuache siasakwenye ugonjwa kwani afya haina cha posho hainunuliwi
 
labda mnisaidie wadau posho mbunge anaipata pale anapouzuria kikao sasa km hakuuzuria kikao hiyo posho anapata wapi labda kama mshahara ndio auzurie au asiuzurie ndio anapata

Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja hapa ni uhalali wa hilo AGIZO la Rais. Ni kweli tuna Mihimili mitatu inayojitegemea au ni danganya toto tu?
 
Rais wa Tanzania kwa mujibu wa katiba ni mkuu wa nchi na kiongozi mkuu wa serikali pia hivyo Spika na Jaji mkuu wako chini yake.

Rais anapotoa maagizo ni vizuri tukaelewa anayatoa katika capacity gani na siyo kuibuka na kuanza kumpinga bila uelewa.
Kwa mfano Rais kama mkuu wa nchi anaweza kulivunja bunge wakati wowote anaporidhika kuna sababu za kufanya hivyo kadhalika anaweza kutoa miongozo fulani kwa Spika au Jaji mkuu.

Tunaposema mihimili ya Serikali, Bunge na Mahakama ni sawa hatumaanishi kwamba viongozi wake wako sawa, la hasha ndio maana mahakama iko chini ya wizara ya katiba na sheria na bunge liko chini ya ofisi ya Waziri mkuu kiutawala.

Mafungu ya fedha za bunge yapitishwa kupitia ofisi ya Waziri mkuu na matumizi yake ni lazima yawe kwa mujibu wa utaratibu wa mlipaji mkuu wa serikali.

Hivyo ni sahihi kabisa Rais Magufuli " kumkumbusha" Spika kwamba fedha ya serikali ina utaratibu wake hivyo wabunge wa Chadema wasiohudhuria vikao wasilipwe posho.
Endapo Spika atapuuza basi taratibu za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

Niko tayari kusahihishwa.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
This is nonsense..
Inajulikana Wabunge hulipwa posho pale tu wanapohudhuria vikao..
Na huyu kichaa wenu amekuwa mbunge kwa miaka 20..ile kusema amemuagiza Ndugai asiwalipe Wabunge wa CDM ilikuwa ni kuwafurahisha mapunga kama wewe..but it's completely NONSENSE and IRRELEVANT.
 
Rais wa Tanzania kwa mujibu wa katiba ni mkuu wa nchi na kiongozi mkuu wa serikali pia hivyo Spika na Jaji mkuu wako chini yake.

Rais anapotoa maagizo ni vizuri tukaelewa anayatoa katika capacity gani na siyo kuibuka na kuanza kumpinga bila uelewa.
Kwa mfano Rais kama mkuu wa nchi anaweza kulivunja bunge wakati wowote anaporidhika kuna sababu za kufanya hivyo kadhalika anaweza kutoa miongozo fulani kwa Spika au Jaji mkuu.

Tunaposema mihimili ya Serikali, Bunge na Mahakama ni sawa hatumaanishi kwamba viongozi wake wako sawa, la hasha ndio maana mahakama iko chini ya wizara ya katiba na sheria na bunge liko chini ya ofisi ya Waziri mkuu kiutawala.

Mafungu ya fedha za bunge yapitishwa kupitia ofisi ya Waziri mkuu na matumizi yake ni lazima yawe kwa mujibu wa utaratibu wa mlipaji mkuu wa serikali.

Hivyo ni sahihi kabisa Rais Magufuli " kumkumbusha" Spika kwamba fedha ya serikali ina utaratibu wake hivyo wabunge wa Chadema wasiohudhuria vikao wasilipwe posho.
Endapo Spika atapuuza basi taratibu za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

Niko tayari kusahihishwa.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
Hoja hapa ni uhalali wa hilo AGIZO la Rais. Ni kweli tuna Mihimili mitatu inayojitegemea au ni danganya toto tu? Ikiwa Bunge na Mahakama vimewekwa MFUKONI na Rais, vipi kuhusu ile Tume yake ya Uchaguzi?
 
Spika Bosi wake ni Mkuu wa CCM, ambaye ni Raisi wa JMTZ, na fedha yote ya Serikali ya JMTZ msimamizi wake ni Raisi wa JMTZ, Bunge linapewa fedha za walipa kodi wa JMTZ na msimamizi wa Kodi zetu ni Raisi wa JMTZ, ...
Hoja hapa ni uhalali wa hilo AGIZO la Rais. Ni kweli tuna Mihimili mitatu inayojitegemea au ni danganya toto tu? Ikiwa Bunge na Mahakama vimewekwa MFUKONI na Rais, vipi kuhusu ile Tume yake ya Uchaguzi?
 
Mbona wanaosema mwenyeketi wa ccm taifa anaingilia mahakama huwa mnakataa au kubisha kwamba hilo haliwezekani, kwamba Mahakama ziko huru.
Kwa mchanganuo huo huo ulioutoa ukiupeleka mahakamani, na ukaapply mtiririko huo huo, inawesekana.
Sio sawa lakini anawaingilia. Maana kasema NIMEMWAGIZA speaker awakate posho.


Hakuna kitu kama ,,Mahakama huru“ Dunia hii, hata hizo unazoziona ziko huru haziko huru kama unavyofikiria, ni swala la tafsiri tu, nini maana ya ,,kuwa huru“ !
 
Back
Top Bottom