Rais anapata wapi mamlaka ya kuagiza Spika asilipe posho za Wabunge?

Rais anapata wapi mamlaka ya kuagiza Spika asilipe posho za Wabunge?

Mawazo mgando KABISA


WEWE unadhani Bunge linakusanya kodi???

Hao chadema wasiokuwa na mwelekeo ndo wakalipwe posho ya vikao wakiwa nyumbani.


Huo UJINGER UNAOUWAZA HAUPO KATIKA TANZANIA

Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja hapa ni uhalali wa hilo AGIZO la Rais. Ni kweli tuna Mihimili mitatu inayojitegemea au ni danganya toto tu? Ikiwa Bunge na Mahakama vimewekwa MFUKONI na Rais, vipi kuhusu ile Tume yake ya Uchaguzi?
 
Wakuu, ile dhana ya uwepo wa Mihimili Mitatu inayojitegemea ni DANGANYA TOTO TU. Magufuli amedhihirisha hilo leo kwa kuagiza Ndugai asilipe posho za Wabunge walioamua kujiweka "karantini".

Kama Rais ana mamlaka ya kuliingilia Bunge, vipi kuhusu Mahakama? Atashindwaje kutoa maagizo yanayofanana na hayo kwenye Tume yake ya Uchaguzi hapo Oktoba?

My take: Tuna utawala wa Mkono wa Chuma, tusitarajie Uchaguzi Huru hapo Oktoba mwaka huu.
Ebo! Kumbe ulitegemea walipwe kwa kujiweka karantine na makahaba hotelini dodoma! Nina uhakika hata mh. Spika angefanya hivyo hata bila kushauriwa na rais! Kama hii kwako ni chungu pole lakini ndio ukwwli!
 
Rais hakupaswa kutamka kauli ile, hapo ndipo utata wa uwepo wa mihimili mitatu unapoanzia. Magufuli amedhihirisha kuwa yeye ni mtawala wa MABAVU. Period.
Atamke au asitamke, katiba ya tanzania inampa mamlaka rais ya kifalme! Na yy hawezi kaa kimya anapoona jamaa wanacheza makida! Kama rais wa nchi hii lazima angewasiliana na spika kujua msimamo wake kulingana na kanuni taratibu na sheria za kibunge! Uzuri wa rais wetu hajuagi kuweka vitu moyoni yy anavitoa!
Hii haina maana ya mabavu ni kuhakikisha wote tupo on same page!
 
Atamke au asitamke, katiba ya tanzania inampa mamlaka rais ya kifalme! Na yy hawezi kaa kimya anapoona jamaa wanacheza makida! Kama rais wa nchi hii lazima angewasiliana na spika kujua msimamo wake kulingana na kanuni taratibu na sheria za kibunge! Uzuri wa rais wetu hajuagi kuweka vitu moyoni yy anavitoa!
Hii haina maana ya mabavu ni kuhakikisha wote tupo on same page!
Amesema ametoa AGIZO kwa Spika, jaribu kuwa na akili japo kidogo Mkuu.
 
naona wengi wanachangia hoja hii kwa kupiga stori,, yaani wanapiga stori . wanataaluma tusaidieni hiyo dhana ya mihimili ikoje na Rais anasimama vipi katika mihili hyo?
 
Rubish kabisa!!
Tuliwaasa Chadema

Wabunge wa Chadema wakichaguliwa na Watanzania wakawawakilishe bungeni

Ila Mbowe kwa ubabe wake bila kushirikiana na Spika amewakataza wabunge wa Chadema wasihudhurie vikao

Kwanza ieleweke Mbowe huwakata wabunge wake zaidi ya milion kwenye mshahara wa mbunge

Leo anawakataza wasichukue hata posho ?

Mbowe ajitathimini akae pembeni akili imefika kikomo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu, ile dhana ya uwepo wa Mihimili Mitatu inayojitegemea ni DANGANYA TOTO TU. Magufuli amedhihirisha hilo leo kwa kuagiza Ndugai asilipe posho za Wabunge walioamua kujiweka "karantini".

Kama Rais ana mamlaka ya kuliingilia Bunge, vipi kuhusu Mahakama? Atashindwaje kutoa maagizo yanayofanana na hayo kwenye Tume yake ya Uchaguzi hapo Oktoba?

My take: Tuna utawala wa Mkono wa Chuma, tusitarajie Uchaguzi Huru hapo Oktoba mwaka huu.
Wewe hufahamu kama Rais ni sehemu ya Bunge? Pia hufahamu kama ndiye mkuu wa Nchi hii?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu, ile dhana ya uwepo wa Mihimili Mitatu inayojitegemea ni DANGANYA TOTO TU. Magufuli amedhihirisha hilo leo kwa kuagiza Ndugai asilipe posho za Wabunge walioamua kujiweka "karantini".

Kama Rais ana mamlaka ya kuliingilia Bunge, vipi kuhusu Mahakama? Atashindwaje kutoa maagizo yanayofanana na hayo kwenye Tume yake ya Uchaguzi hapo Oktoba?

My take: Tuna utawala wa Mkono wa Chuma, tusitarajie Uchaguzi Huru hapo Oktoba mwaka huu.
Mbowe alipata wapi mamlaka ya kuwazuia wabunge kuhudhuria vikao vya bunge?. Bunge huomba pesa kutoka serikali kuu hivyo udhibiti wa matumizi yake ni muhimu. Utatu wa mihimili hauifanyi kuwa sawa kikatiba
 
Kwani Bunge wanatoa wapi hela na nani anaidhinisha hela ziende Bungeni? Ili Bunge lipewe hela lazima litoe justification ya matumizi yake, sasa justification za waliojifungia ndani hawaendi kwenye vikao zitatoka wapi ili nao walipwe?

Unaongea utoto gani we dogo? Kwani mbunge ambaye haingii kwenye kikao huwa analipwa posho?
 
Spika Bosi wake ni Mkuu wa CCM, ambaye ni Raisi wa JMTZ, na fedha yote ya Serikali ya JMTZ msimamizi wake ni Raisi wa JMTZ, Bunge linapewa fedha za walipa kodi wa JMTZ na msimamizi wa Kodi zetu ni Raisi wa JMTZ, ...
Pia Rais ndio kapewa mandate ya kusimamia Mali zetu kikatiba.
 
Kwa hilo hapana Yuko sahihi unalipwaje posho wakati haupo kazini?Hivi tafsiri ya posho ni nn?Kama huko kwenye kikao au vikao unalipwaje allowances.Tuache ushabiki hebu tuwe empirical ni Sasa kulipwa posho wakati huko kwenye vikao vya bunge.Something is not correct with Cdm.Rethink.

Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli anajua posho lazima usign ndo upewe, ni utaratibu upo miaka yote Sasa kulikua na haja gan kuongelea kitu ambacho kinajulikana Kama sio ujuha
 
Wakuu, ile dhana ya uwepo wa Mihimili Mitatu inayojitegemea ni DANGANYA TOTO TU. Magufuli amedhihirisha hilo leo kwa kuagiza Ndugai asilipe posho za Wabunge walioamua kujiweka "karantini".

Kama Rais ana mamlaka ya kuliingilia Bunge, vipi kuhusu Mahakama? Atashindwaje kutoa maagizo yanayofanana na hayo kwenye Tume yake ya Uchaguzi hapo Oktoba?

My take: Tuna utawala wa Mkono wa Chuma, tusitarajie Uchaguzi Huru hapo Oktoba mwaka huu.
Pumbavu,... bungeni hamtaki kwenda, ila pesa zetu munazitaka!?
Jinga sana nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dunia ni kina nani mkuu? ni kweli sisi tunadanganya sana wazungu kwenye check and balance ni executive inaburuza wenzake openly, bongo hatuna uhuru wa kukashifu na kupinga serikali kwenye public, uchaguzi wetu chenga chenga tu, watoto wenye mimba kurudi skuli hatuafiki ila tunasaini na kuchukua mpunga, ushoga hatutakaa tuukubali ila tunasaini kuwa hatuna shida na mashoga!!

kitu kizuri wazungu hutudanganya mengi zaidi ya tunayowadanganya sie!!! Mungu akupe nafasi uishi na wazungu uzunguni hutaamini utakayojionea!!! hali ya hewa ni mbaya mno huko miezi mingi, ni miezi mitatu au minne tu ya summer ndio huenjoy ila muvi zao nyingi ni za summer bata kama zote basi kila mtu mweusi ataka akaishi huko hawajui ukienda uzunguni unaishia ndani miezi nane baridi kali!! wazungu omba omba barabarani na mateja kama wote! wazungu ni watu feki mno , asilimia 80 ni vilaza, form six mtu kasoma balaa! kila mtu ni mdeni wa benki, kampuni ya cm, supermaket na manispaa!! wazungu ni wabaguzi wa rangi openly, ukitangulia kukalia siti ya mbele kwenye daladala wote watapita wakakae nyuma, ukikaa nyuma wanahamia mbele!! bus likijaa ukisimama nyuma ya mzungu mkoba wake ulioko mgongoni au ubavuni anautoa anauweka mbele kwenye tumbo lake!! wazungu husema watu weusi hutoa harufu kali na mbaya ya jasho si wa kuhug hug ovyo! nao husema mengi tofauti na wanayotenda kwa watu weusi!! mi sioni dhambi kuwazuga mambo yetu labda tujisikie vibaya kudanganya weusi wenzetu si wazungu i talk from bad experience ya kuishi na wazungu! trust me!!
Unaongea kishabiki sana, for your information hata huku kwa mfanyakazi bila mkopo Kuna mambo huwez kufanya kwa hiyo hata huku watu wanadaiwa na bank, kwa hiyo kudaiwa sio ajabu
 
Back
Top Bottom